Elly Afya Tips
NAWASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME
KUBORESHA AFYA YA UZAZI
KWA USHAURI•HUDUMA•MATIBABU
WHATSAPP +255 679 599 622
SABABU ZA FIGO KUHARIBIKA AU KUFELI
• Kisukari kisichodhibitiwa vizuri
• Shinikizo la damu la muda mrefu
• Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) yanayoenea hadi kwenye figo
• Kutumia dawa za maumivu (painkillers) mara kwa mara bila ushauri wa daktari
• Kunywa maji kwa kiwango kidogo kwa muda mrefu
• Mawe kwenye figo yanayoziba njia ya mkojo
• Magonjwa ya kurithi yanayoathiri figo
• Kuvuta sigara
• Magonjwa ya kinga ya mwili yanayoshambulia figo (k**a lupus)
• Kuziba kwa njia ya mkojo kutokana na tezi dume kuongezeka au sababu nyingine
Linda afya ya figo zako kwa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara, kudhibiti kisukari na shinikizo la damu, na kutafuta matibabu mapema unapopata maambukizi ya njia ya mkojo au dalili nyingine zinazohusiana na figo.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WANAWAKE
Ada ni TSh 14,500 tu kwa mwaka mzima.
Kwa kujiunga utapata:
Elimu kuhusu afya ya uzazi wa mwanamke.
Mafunzo kuhusu maambukizi mbalimbali k**a UTI, fangasi, BV, PID na mengine.
Elimu kuhusu hedhi, ovulation, uzazi na kuongeza nafasi za kupata ujauzito.
Elimu kwa wajawazito kuhusu namna ya kutunza afya wakati wa ujauzito.
Mafunzo ya lishe bora kwa afya ya uzazi.
Mafunzo kuhusu njia mbalimbali za asili zinazoweza kusaidia kuboresha afya na kukabiliana na changamoto mbalimbali, sambamba na umuhimu wa kupata huduma za kitabibu pale inapohitajika.
Fursa ya kuuliza maswali na kupata elimu ya afya mara kwa mara.
Ada: TSh 14,500 tu kwa mwaka mzima.
Jiunge leo na uwe sehemu ya wanawake wanaojifunza na kuboresha afya zao kupitia elimu sahihi.
MADHARA YA KUTUMIA P2
ZAIDI YA MARA MBILI KWA
MWAKA
VYAKULA VYA KUBORESHA
MBEGU ZA KIUME
NB:UKIPATA DALILI HIZI KWA PAMOJA NDIYO KUNA HATARI KUBWA ZAIDI YA MIMBA YAKO KUHARIBIKA AU KUTOKA HII NI KWASABABU DALILI HIZI ZINAWEZA KUINGILIANA NA CHANGAMOTO NYINGINE AU UJAUZITO WENYEWE HIVYO YAPASWA UWAHI HOSPITALINI
PIA DALILI HIZI NI ZA UTOKAJI WA MIMBA WA AINA ZOTE KWAMBA MEDICAL NA PROCEDURAL
ACHA KUFANYA MAMBO
HAYA K**A WEWE
NI MJAMZITO
VYAKULA VINAVYOMSAIDIA
MWANAMKE KUJIFUNGUA
VIZURI/KUJIANDAA NA
UCHUNGU WA UZAZI
DALILI ZA MAAMBUKIZI YA
FANGASI UKENI KWA
WANAWAKE
DALILI ZA MIMBA YA WIKI
MOJA-KUMI NA MBILI
[1-12]
FAIDA ZA KUMEZA FOLIC ACID MIEZI 3 KABLA YA KUSHIKA UJAUZITO
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
