AFYA YAKO Msingi IMARA

AFYA YAKO Msingi IMARA

Share

PATA USHAURI WA KIAFYA BURE TOKA KWETU NA SULUHISHO LA CHANGAMOTO YAKO KWA KUTUMIA MBADALA WA DAWA. #Food_Supplement. KWETU AFYA YAKO NI KIPAUMBELE. KARIBU SANA

14/04/2024

Hello!

Una changamoto yoyote ya kiafya! Zungumza nasi kupata suluhisho....

Call or whatsup:-

+255753116617
+255653134127



#

Photos from AFYA YAKO Msingi IMARA's post 23/11/2023

0755254734
0753116617

Photos from AFYA YAKO Msingi IMARA's post 23/11/2023

IMARISHA MIFUPA NA VIUNGO VYAKO.

Tafadhali niazime macho na ufahamu wako kidogo tuongee kuhusu moja ya viungo muhimu kwa mwili wako.

Mifupa inachukua 1/3 ya theluthi ya mwili wako hivyo ni muhimu saana ukajua afya yako.

Viungo vikisumbua mwili unakosa afya timilifu. Mgongo na kiuno vikisumbua mtu hawezi kusimama na maumivu huongezeka.

Goti likikosa ute ute mguu haukunjiki, yakiwa yote mawili hata kujisaidia unaumia saana.

Hali hii huwapata zaidi wenye umri mkubwa, Wastaafu hasa Majeshini, Waalimu, Wanamichezo au waliofanya kazi ngumu katika ujana wao.

Kwa ujumla ubovu wa viungo una mateso mengi.Kuna baadhi wa Watu wazima hawatoki ndani ya Nyumba zao.

Na bahati mbaya vijana wao haelewi taabu hii wakidhani ni uzee.
Watu wazima wanaumwa mwili mzima kwa sababu tu mifupa yao ina Upungufu wa Calcium hivyo damu haitembei kwa kasi inayostahili.
Wazee Hawa hawahitaji gari bali VIRUTUBISHO na lishe halisi wabireshe afya zao.

Tunauza virutubisho maalumu kukabiana na shida hii. Nitafute kwa kubonyeza link hii ikulete kwenye simu yangu tumalize teso hili https://wa.me/255753116617 au piga simu moja kwa moja kwa no zetu:-

0753116617
0755254734

20/11/2023

Unayo changamoto yoyote ya afya? Karibu upate ushauri

01/12/2022

!

Inawezekana mwezi wa 11 ambao umeisha Jana huenda ulipoteza, ulipata hasara kwenye kile ambacho unakifanya k**a biashara zako, kazi zako, masomo yako nk!!

Inawezekana ulilia Sana, ulivunjika moyo, afya yako ilisumbua, ukakata tamaa ukatamani kuacha kile ambacho unafanya, ! ..

Ukatamani kuacha biashara, kazi, shule, ukatamani kuachana na mume/mke wako nk!!

kitu kimoja Magumu hayadumu! Ule ulikua ni mwezi wa 11 na huu ni mwezi wa 12 ambao tumeuanza leo huu ni mwezi mpya!

Sahau yote yaliyopita mwezi wa 11 inuka tena songambele acha kulia, acha kukata tamaa, Wapambanaji wote Wana Mioyo migumu ya kusonga mbele, Wana Mioyo isiyokata tamaa!..

Inuka usonge mbele, Kumbuka Ulizaliwa Ili ushinde acha uwoga endelea kupambana usikate tamaa wala usikimbie vita ya mafanikio endelea kupambana kuna siku tu utakipata kile ambacho unakitaka!!!

upambanaji mwema ktk mwezi December🔥🙌💪

12/10/2022

*PUNYETO / KUJICHUA*
__________________

✍Kupiga Punyeto ni kitendo cha mtu (Mwanaume au Mwanamke) kujitomasa au kujichua katika sehemu zake za siri ili kujisisimua kimapenzi.

*✍Japo hali hii imekuwa ikidaiwa kufanywa haswa na watu wenye rika la ujana, lakini tafiti zimeonesha kuwa tendo hili limekuwa ikifanywa pia hata na watu wazima.*

✍Yapo mambo mengi yanayotajwa kuchangia watu wengi kujiingiza kushiriki tendo hili, msingi wake unadaiwa kusababishwa na hali ya mshiriki kutojua jinsi mwili wake unavyoweza kuitikia msisimko wa mapenzi kabla ya kuanza kushiriki tendo la kujamiiana kwa mara yake ya kwanza.

✍Japo Punyeto inakatazwa na misimamo ya imani za dini nyingi na kuelezwa kuwa ni jambo lisilofaa, dhambi, mwiko na jambo lisilokubalika kabisa kwenye jamii, watetezi wake wanasema ni jambo salama kiafya na dhana zilizopo kulihusu ni imani binafsi na chaguo la mtu.

*✍Wanawake wengi na wanaume uingia kwenye 'Uraibu' wa kupiga Punyeto kwa kile kinachoelezwa kuwa ili kujisikia huru zaidi na vizuri kwa kuondokana na presha za mihemko ya kufanya mapenzi zinazomlazimu kujiingiza kufanya ngono na mtu mwingine.*

*✍Pia hofu ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, kuambukizwa virusi vya VVU, ni kichochoe kinachodaiwa kupelekea baadhi ya watu kujiingiza kufanya kitendo hicho.*

*✍Licha ya kwamba Punyeto ukidhi hitaji la muda la muhusika, wataalamu wa afya wanaeleza madhara yanayoweza kumpata au kumtokeà mshiriki wa muda mrefu wa tendo hili.* 👇👇

*KWA WANAWAKE;*

Baadhi ya madhara anayoweza kupata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto;

*1. Kuharibu kizazi*

*2. Kumfanya kuwa mvivu mara kwa mara*

*3. Kukosa hamu ya tendo*

*4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu*

*5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto*

*6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kutokuwepo ivyo kumfanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.*

*7. Kukosa kujua raha ya tendo kutokana na kuzoea punyeto.*

*8. Kufanya Uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mumeo au mwenzako kutafuta mchepuko wenye uke 'mtamu'.*

*9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara.*

*10. Kuwa katika athari ya kujiingiza kwenye tabia ya kufanya mapenzi ya jinsia moja (Kusagana).*

*KWA WANAUME;*

*1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.*

*2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.*

*3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha UHANITHI (uume kushindwa kusimama)*

*4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara.*

*5. Huleta uchomvu sugu na kwa haraka zaidi, mara nyingi utahitaji kulala usingizi hata nyakati za mchana.*

*6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia*

*7. Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza kujichua*

*8. Punyeto haifanyiki kirahisi, unahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mtu asiyekuwepo hapo ulipo. Hili ni jambo baya zaidi kwa afya ya akili, kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kwa moja.*

*9. Punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu kwakuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwili na akili.*

*10. Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako, hii itakuletea shida kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.*

*11. Punyeto inapunguza uwingi wa mbegu (reduces your s***m count) k**a matokeo yake mwanaume hataweza kumpa mwanamke ujauzito.*
Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha *ugumba* kwa wanaume na ni matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.

*12. Kimaadili kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta ukishiriki tendo la ndoa peke yako.* Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maeneo mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo k**a hutaiacha tabia hii haraka.

*13. Huufanya uume kuwa legelege na mdogo k**a wa mtoto.*

*NINI KIFANYIKE ?*

1. K**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.

2. Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutapata muda tena wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utakuwa na uwezo wa kupata usingizi mtulivu sababu ya mazoezi

3. Usikae peke yako muda mrefu bila kuwa bize na shughuli yoyote. Kichwa kitupu ni nyumba ya maasi mengi.

4. Epuka kula vyakula vyenye mafuta mengi

5. Tumia muda ambao huna kazi kwa kulala na hivyo utakuwa unaipumzisha pia akili yako

6. Usikae muda mrefu maeneo k**a ya bafuni au chooni

7. Usipende kujishikashika na mkono wako sehemu zako za siri wakati wowote.

*Muhimu Kabisa:*👇👇

✍🏾Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo, k**a upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondoe haraka iwezekanavyo.

Unahitaji ushauri ktk hili?

Inbox

Photos from AFYA YAKO Msingi IMARA's post 06/10/2022

TATIZO LA KUMWAGA HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA

Tafiti zinaonesha kwamba katika kila wanaume 10, wanne wana tatizo la nguvu za kiume. Na katika kila wanawake 10, nane hawafurahii tendo la ndoa.. either kwasababu wanaume hufika kileleni haraka kabla ya mwanamke, or kwasababu ya maumivu anayoyapata mwanamke kutokana na uke kukauka haraka wakati wa tendo n.k

TATIZO HUSABABISHWA NA NINI?

1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.

2.Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.

3.Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima

4.Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa Hamu ya tendo la ndoa kabisa

5. Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini

6. Mishipa ya damu kujaa mafuta na Moyo kutofanya kazi vizuri n.k

Tuna bidhaa za asili ambazo zimetolewa kwenye mimea na mizizi na matunda. Zina faida mbalimbali mwilini k**a;

# kurudisha hamu na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake

# Kupunguza athari za menopause kwa wanawake.

# Kuupa mwili stamina na nguvu.

# Kuondoa msongo wa mawazo.

# Kusaidia kuboresha homoni za tendo la ndoa

# Kusaidia uwezo wa mbegu za kiume kuogelea vizuri.. # Kuongeza uteute kwa kwenye uke wakati wa tendo la ndoa. Hivyo kupunguza msuguano utakaoleta maumivu kwa wanawake.

# Kusafisha mishipa ya damu isiwe na mafuta mabaya yaliyoganda ili damu iweze kupenya vizuri mwili mzima

# Kusaidia mwanaume aweze kushiriki tendo kwa muda mrefu na kutomwaga haraka haraka na aweze kurudia mizunguko kadhaa

Namna ya kupata hivi virutubisho tuma neno NGUVU ZA KIUME kwenda WhatsApp number *+255 653134127 tutakufikia.

wa.me/255653134127

04/10/2022

Je? UNASUMBULIWA NA JINO /MENO KUUMA, KUTOBOKA, FIZI KUTOA DAMU, MADONDA YA MDOMONI,HARUFU MBAYA soma hii itakufaa sana.

Wasiliana nasi:
+255 653 134127
+255 753 116617

wa.me/255653134127

Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Mara nyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.

Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma.

Tambua kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Na ndio kazi yao. Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa wake kuwa sugu na hujulikana k**a MACHODIFECE ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza, ama kutoboka kutokana na bakteria AFINOTOBALASAD ndio wanaosababisha na huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la kuumwa na jino au meno.

Ili kuondoa tatizo hili, ni lazima uwaue hao bakteria na si kong’oa jino kwani wadudu hao walivyo unapong’oa jino moja wao huwa wanahamia jino jingine.

Meno huanza kuwa na shida pale ambapo mhusika anapokuwa amepata vitu vifatavyo:
Kuumia sehemu ya mdomo kwa kujigonga au kupata ajali, Kupata mashambulizi ya vijidudu k**a bacteria, fungus, virasi na vingine vingi
Kukaa muda mrefu bila kufanyia kinywa usafi k**a kuto kupiga mswaki mara kwa mara
Kubakia kwa masalia au punje ndogo ndogo kwenye meno kwa muda mrefu.

Tiba ya Jino/Meno

1.Kuuma,
2.Kuvimba fizi,
3.Meno kutoboka na
4.Fizi kutoa damu kwa muda mrefu bila tiba.

Tiba ya jino linalouma, lililo toboka, fizi kuvimba na kuuma sio kung'oa; Kung'oa ni njia ya kutengeneza mazingira ya jino jingine kung'oa na kujikuta una maliza kung'oa meno yote
Wengine huenda wakabaki wanajiuliza sasa hapa tunafanyeje!!

Wasiliana nasi upate ushauri namna ya utunzaji wa meno, kinywa na kudhibiti hiyo changamoto ya kung'oa meno bila kujua..

Call/text us
+255 653 134127
+255 753 116617
wa.me/255653134127
karibu na using'oe jino

ukipata elimu hii like/share/ tag na wengine wanufaike

02/10/2022

Tibu vidonda vya tumbo kwa njia nyepesi!... unaijua njia hiyo,????

Call or whatsup
0653134127

01/10/2022

Inawezekana Umekua Ukihangaika Kutatua Changamoto Ya vidonda Vya Tumbo Kwa Muda Mrefu Bila ya kuona mafanikio basi nina habari nzuri mno.

Nimekuandalia darasa BURE kabisa yenye kukuonyesha *Jinsi ya kutatua changamoto ya Vidonda Vya Tumbo moja kwa moja*

Kujiunga hilo darasa la Bure Gusa Link Hapa Chini

https://chat.whatsapp.com/DUAo8vPPhqd1LAwF1V8EVD

Ndani ya darasa hilo tutazungumzia Mengi Ikiwemo yafuatayo:

1. Chanzo Cha Vidonda Vya Tumbo
2. Vyakula Unavyopaswa Kula Na Kuacha Kabisa
Jinsi Ya Kuepuka Kupata Bawasiri.
4. Acid tumboni
5. Shuhuda za watu waliotatua Changamoto hii moja kwa moja nk

Nitaandika Nitakayo Fundisha

Kuhudhuria hilo darasa wahi mara moja kwa Kugusa Link Hapa Chini

https://chat.whatsapp.com/DUAo8vPPhqd1LAwF1V8EVD

Wahi kabla ya group kujaa.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio/afya yako,

*Johaness Rumitho*
*Health Consultant*

Photos from AFYA YAKO Msingi IMARA's post 22/09/2022

Hello rafiki?

Naomba kujua k**a kuna yeyote hapa anayetamani lakin hajapata solution.

Tuna kitu special kwa ajili yako .

Njoo inbox... Sema ili kupata mwongozo.

Tuma Sms/whatsup kwa no hii:-👇
+255 653134127

21/09/2022

.....K**A UNAIJALI AFYA YAKO, BASI ELEWA VIZURI HUU UJUMBE.....

Mara nyingi, ninapokuwa natoa masomo kuhusu Matumizi ya Virutubisho kwa watu, Wengi huwa wanajisemea moyoni *"...Nitakula Matunda na Mboga mboga..."* au *Mbona wazee wetu zamani waliishi tuu bila kutumia madawa na walikuwa hawapati magonjwa, bwana weweee mi nitakula matunda na mboga mboga tuu...😀

Lakini kuna maswali ya Msingi ambayo wengi huwa wanakwepa kujiuliza, hebu leo tujiulize pamoja!

↪️ Hivi unajua mimea mingi kwasasa mashambani uko, inaoteshwa kwa kemikali !??

↪️ Vipi kuhusu, madawa makali yanayopulizwa kuua wadudu wakati wa ukuaji !??

↪️ Enhee, vipi habari ya umwagiliaji, Wakazi wa Dar au Dodoma hivi umeshawahi kutembelea Bonde la Msimbazi na Mabibo au pale SWASWA -Dodoma kuona hizo mboga mboga zinavyo mwagiliwa!??

Yale maji unaweza kunawa hata mikono !?? 😀😀

↪️ Unajua mazao mengi kwasasa uhifadhi wake unategemea madawa na kemikali.

Sasa mkulima nae kwa kuogopa mazao yake kuharibiwa na wadudu basi lazima dawa ataipuliza kali sana pia ili yawe salama.

Swali hapa ambalo ningependa tujiulize wote ni Je, una uhakika vyakula unavyotumia huwa havina kemikali nyingi !??

Anyways...

Labda nikupe hii taarifa muhimu kwako.

KATIKA MAISHA YETU YA KILA SIKU, TUNAYO MAKUNDI MATATU YA VYAKULA AMBAYO TUNAKULA KILASIKU.

1. Luxury / Toxic foods.

Hili ni kundi la vyakula ambavyo ni pendwa kwa wengi.

Havikuongezei Virutubisho vyovyote mwilini ila vinaongeza sumu na takamwili tuu.

Vyakula hivi mfano wake ni k**a vile Pombe, chips, burgers, nk

Huwa ni vitamu kwa radha lakini ni hatari kwa afya yako.

2. Neutral Foods.

Hivi ni vyakula ambavyo wengi hupenda kuviita k**a ni vyakula vya asili.

Vyakula huvi ni k**a vile matunda, mbogamboga,nafaka nk.

Vyakula hivi tunaviitaka k**a ni neutral foods kutokana na kuwa na uwezo wa kukupatia manufaa au la.

Itategemeana na mazingira ambayo yametumika kuandaa au kuhifadhiwa kwa vyakula hivi.

3. High Beneficial Foods (Food Supplements - Chakula lishe)

Hili ni kundi la vyakula ambavyo vina faida za moja kwa moja kwa mtumiaji. Hii ni kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha vitaminis, Madini, Amino acids nk.

Wengi huvitumia k**a tiba kutokana na uwezo wake mkubwa wa kufanya kazi mwilini hasa kwa mtumiaji anapovitumia mara kwa mara au kwa kufuata dozi hasa pale unapewa mwongozo mzuri wa kutumia.

INAWEZEKANA HAPO UNAJIULIZA KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?

SWALI

Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalia; KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO?

💎JIBU:

Swali zuri sana, hata mimi kabla ya kuwa na elimu ya virutubisho lishe nilikua najiuliza hivyo hivyo.

Ukweli ni kwamba k**a unataka kupambana na magonjwa na kufikia urefu wa maisha huwezi kwa kutumia diet peke yake, unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa wewe kutumia virutubisho lishe.

-Jinsi ambavyo mbolea ilivyo muhimu kwa mmea ndivyo virutubisho lishe vilivyo muhimu kwa binadamu. Upe mmea jua na maji na utaishi, uongezee mbolea yenye virutubisho hai na uta stawi zaidi.

-Binadamu ndivyo hivyo hivyo, lishe yenye afya, yenye usawa inaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Vidonge vyenye virutubisho lishe k**a madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.

SABABU NYINGINE NA UMUHIMU WA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

1.Vyakula vya sasa havina virutubisho vya kutosha.

2.Kutumia virutubisho lishe ni njia ya haraka na rahisi zaidi ya kupata viini lishe ambavyo vinahitajika mwilini.

3.Inakusaidia kuondokana na magonjwa ya uzeeni k**a kisukari,pressure na Tezi dume.

4.Ni njia nzuri ya kupambana na kuondoa sumu mwilini.

NB:VIRUTUBISHO LISHE (SUPPLEMENTS) NI MUHIMU SANA KWA AFYA ZETU NA HASA KWA MAZINGIRA YA MAISHA YETU YA SASA YALIVYO.

↪️ Yapo Makundi mengi ya hivi virutubisho, Mfumo wa Vidonge, Maji na mfumo wa unga.

UNGEPENDA KUFAHAMU VIRUTUBISHO VYA CHANGAMOTO GANI !?

Nifahamishe upate mwongozo zaidi:-

No za simu:-
+255 653134127
+255 753116617

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dodoma
255