Afyaclue

Afyaclue

Share

Afyaclue chanzo makini cha taarifa za kiafya.

05/01/2024

UMRI SIO KIKWAZO!

🤵🏾‍♂Tohara kwa Wanaume ni Muhimu sana.

💥Hususani Katika kusaidia kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI na Magonjwa ya mfumo wa Mkojo.


_Unlocking Wellness Together_

12/11/2023

Kwa Watoto Nimonia Ni Hatari Zaidi
Tunaweza Zuia Nimonia Kwa;

💉Kuzingatia Chanjo kwa Watoto.
🚭Kuzuia kuvuta sigara karibu na Watoto.
🏠Kuepuka Unyevu Ndani ya Nyumba.
🥒Kuzingatia Lishe bora kwa watoto.

20/10/2023

💥Afya bora ina ina ambatana na kuwa na Mfumo bora wa Mmeng'enyo wa Chakula.

💥Hapa Kuna Dondoo za msingi za kufanya kuimarisha Mfumo wako wa Mmeng'enyo wa Chakula.

🥦🫚

Photos from Afyaclue's post 10/10/2023

*Siku ya Afya ya Akili - Kuimarisha Jamii Zenye Afya Bora*

💥Kila mwaka, dunia inajikumbusha umuhimu wa afya ya akili ifikapo tarehe 10/10 kupitia maadhimisho ya Siku ya Afya ya Akili.

Kaulimbiu ya mwaka huu:
"Afya Ya Akili ni haki kwa binadamu wote",
Inasisitiza kuwa afya ya akili ni haki ya kimsingi kwa kila mtu. Hii inamaanisha kuhakikisha kuwa watu wanaweza kupata upatikanaji sawa na wa heshima kwa huduma za afya ya akili bila ubaguzi. Hii ni kazi yetu sote k**a jamii kuunga mkono haki hii muhimu.

Katika Siku hii ya Afya ya Akili, tuzingatie umuhimu wa kuendeleza elimu na ufahamu kuhusu afya ya akili, na pia kuwa na moyo wa kujitolea kusaidia wale wanaohitaji msaada. Kumbuka, hakuna afya bora bila afya ya akili thabiti. Tuendelee kushirikiana kuelekea jamii zenye afya bora na afya ya akili imara kwa kila mtu. Jiunge nasi katika kusimama pamoja kwa afya ya akili.

unlocking wellness together.

29/09/2023

*TAREHE 29 SEPTEMBA NI SIKU YA MOYO DUNIANI🫀*

Magonjwa ya Moyo na mishipa ya damu ndio yanaongoza kwa kusababisha vifo vingi zaidi Duniani.

Inakadiriwa zaidi ya watu takribani milioni 17.9 kila mwaka Duniani hupoteza maisha kutokana na magonjwa ya moyo na mishipa ya damu yaani "Cardiovascular Diseases".

Ili kukabiliana na Tatizo hili mtu binafsi anatakiwa kufanya Juhudi kukabiliana na matatizo haya kwa;

🚭 Kuacha Matumizi ya sigara.
⛹🏼‍♀️ Fanya Mazoezi mara kwa mara.
🍺 Kudhibiti unywaji wa pombe.
🥒 Ongeza ulaji wa Matunda na mbogamboga.
⬇️ Punguza matumizi ya chumvi na sukari.
🩺Pima afya yako mara kwa mara.
🤦🏻‍♀️Kudhibiti msongo wa Mawazo.

*"Tumia Moyo Kujua Moyo"*

27/09/2023

Je? Unahitaji kupata Taarifa mbalimbali zinazohusu afya kwa kina zaidi.😊

*Afyaclue* sasa tumekusogezea Makala na Taarifa kemkem kuhusu mada mbalimbali zinazohusu afya💥

💊Taarifa Juu ya Dawa.
🏃🏽‍♀️Mitindo ya Maisha.
👨🏾‍🔬Magonjwa na Matibabu.
🧘🏽‍♂️Na mada nyinginezo zinazohushisha afya.

Kupitia Channel yetu ya *WATSAPP* Sasa waweza kupata taarifa hizi zote kwa undani zaidi.

Nenda na ujiunge kwa Taarifa za uhakika na makini.

Jiunge kupitia link kwenye bio👆.

25/09/2023

Happy World Pharmacist Day!

Photos from Afyaclue's post 13/09/2023

Tufatilie katika mitandao yetu ya kijamii

23/08/2023

Mlinde mwenza wako!!
For more health updates follow us

20/08/2023

youtu.be/tqtCZlXW1vs

12/08/2023

Happy Youth Day 🎉
Big congratulations to our amazing team at Afyaclue for their outstanding efforts in educating and empowering everyone about crucial health matters.🩺📚 Your dedication and hard work are truly inspiring. **atula_suma

09/08/2023

Ikiwa umesahau kunywa dawa, unapaswa kuichukua mara moja unapokumbuka, isipokuwa itakapokaribia wakati wa kipimo kinachofuata. Ikiwa kuna wasiwasi wowote au k**a ni mara ya kwanza kutokea, unaweza kuwasiliana na Mfamasia/daktari wako kwa ushauri zaidi.
.flow_____

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kikuyu
Dodoma