Health tz

Health tz

Share

concerning about health and beauty issues

02/12/2024

With Electric Hvac Explorer Tips – I just made it onto their weekly engagement list by being one of their top engagers!

Photos from Health tz's post 01/12/2022

FAHAMU NAMNA YA KUFANYA NGOZI YAKO KUWA NA MWONEKANO MZURI NA WENYE AFYA
Muonekano mzuri wa ngozi ya mtu unatokana na matokeo ya staili ya maisha anayo ishi mtu mwenyewe ikiwemo matumizi ya baadhi ya vitu .

Baadhi ya vitu ambavyo vinachangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa afya ya ngozi na mwonekano mzuri
1)matumizi ya vilevi kupindukia
2)kutumia vyakula vyenye mafuta mengi
n.k
Njia za kufuata kuhakikisha ngozi yako inakuwa na muonekano Bora na yenye afya
-Ni pamoja na kupunguza vyakula vyenye mafuta mengi,
-kuwa na utaratibu wa Kula matunda k**a vile avocados(maparachichi),ndizi n.k
Pia kutumia baadhi ya BIDHAA ambazo zimetengenezwa kwa mimea asilia K**a vile BIDHAA inayoitwa feminegy pamoja na Anatic essence herbal soap ambazo hupambana na chamgamoto zote za ngozi
ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP
- ni sabuni iliyotengenezwa(ACTIVE INGREDIENTS) kwa:-
-asali mwitu,
-green tea,
liwa na
mbegu za zabibu kwa asilimia 100%
Faida yake
1)hupambana na uzee na kuondoa mikunjo
2)hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muonekano nadhifu
3)huondoa mapunye ,chunusi na mafuta yaliyo zidi kwenye ngozi.
4)inasaidia kuondoa michirizi na makovu kwenye ngozi
Kwa mawasiliano 📞0767054468 au nicheki kupitia WhatsApp 0767054468kwa maelezo zaidi na kupata order yako.
NB:tunafanya delivery mikoa yote tanzania.
Karibuni sana.

01/12/2022

TIBA YA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO

Tatizo la ganzi na miguu kuwaka Moto Linawasumbua watu wengi,Sababu Kubwa ni Kuziba Kwa Mishipa midogo midogo ya damu,Kudhoofika kwa neva za pembezoni Mwa Mwili au Kupungua Virutubisho Mwilini,MICRO-OXYGEN-CYCLE ni dawa ya tibalishe Iliyothibitisha ubora Kutatua shida hio na nyingine Za Aina Hio

KAZI ZAKE
●Inaondoa ganzi,Miguu Kuwaka Moto,Inasafisha Damu na Kuondoa Maumivu Ya Kichwa Mara kwa Mara

●Kuondoa damu iliyosimama kwenye mishipa ya damu

●Husaidia kusafirisha hewa ya oxygen na virutubisho katika mishipa midogodogo na sehemu za mwili

●Huwezesha hewa na Virutubisho kufika mahala husika mwilini hivyo kuzuia tatizo la kufa kwa seli za mwili (Ganglion)

●Huondoa na kuzuia sumu mwilini (Detoxification)

●kulinda misuli ya moyo na seli za ubongo hivyo kuzuia tatizo la msh*tuko wa moyo na kiharusi

●Kuweka sawa kiwango cha mafuta (cholesterol)

●Kuimarisha mzunguko wa damu na Kusaidia macho kuona vizuri

●Kuzuia mishipa ya damu kusinyaa na kukaza

●Kuzuia kuganda kwa Damu katika mishipa (Blood cloating)

●Hutibu maumivu ya kifua haswa yanayosababishwa na chembe ya moyo (Angina)

●Hutibu shinikizo la damu, kiharusi na mshtuko wa moyo
Tupigie kwa namba za simu 0767054468 ili uweze kuipata bidhaa hii na inakufikia popote ulipo Tanzania Asante kwa mda wako na karibu sana tuhudumie.

02/06/2022

Femicare feminine cleanser (MKOMBOZI WA WANAWAKE)
Hii Ni dawa iliyo kwenye mfumo wa kimiminika ambayo kazi take kubwa Ni kuwa
Inatibu Mambo yafuatayo
1) Fangasi sugu
2)U.T.I sugu
3)inaondoa harufu mbaya ukeni
4)inaondoa uchafu unaotoka ukeni
5)inasafisha na kuzibua mirija ya uzazi
6)inakulinda usipate U.T.I na Fangasi
7)inaongeza joto la uke
8)inasadia kubana kuta za uke zilizo legea
9)inaondoa miwasho ukeni
10)inarudisha Ute Ute ukeni
11)inatibu PID ikitumika na refined yhunzi
12)pia inapunguza maumivu makali wakati wa hedhi
Kwa mawasiliano piga simu/WhatsApp 0767054468
Tumia hii leo hakika hutojutia kuchagua bidhaa hii

21/05/2022

*🌹BF SUMA ni Nini ?..*

*BF SUMA* Ni kampuni na inasimama katika kifupisho cha maneno haya *Bright future superior unique manufacture of America..*
Kampuni ya BF SUMA rasmi imeanzishwa 2006 katika makao makuu huko Los Angeles marekani
Ingawa kwa sasa imepanuka zaidi Hongkong na inaenda ujeruman katika kuweka viwanda vikubwa vya uzalishaji bidhaa
BF SUMA kutokana na tafiti na uzalishaji wa bidhaa lishe mbali mbali imepata vibali na vyeti kutoka mataifa mbali mbali
Baadhi ya vibali na utambuzi wa viwango bora vya bidhaa katika kampuni ya BF SUMA ni hivi hapa
●HALAL
●FDA
●ISWA
●cGMP
●TMDA
●Na patent kutoka India n.k
Na hapa kwetu kampuni inatambulika na mamlaka za mapato pia udhibiti wa viwango vya chakula na dawa

Kampuni ya BF SUMA inajihusisha na mambo makuu matatu

1.Utafiti wa shida za kiafya

2.Uzalishaji wa bidhaa za afya

3. Usambazaji wa bidhaa za kiafya

Hapa kwenye usambazaji BF SUMA wanatoa ajira kwa watu bila kujari unaelimu gani utaweza kufanya kazi hii na ndipo fursa inapatikana hapa
*Ukiwa umejiajiri na BF SUMA kwa mtaji mdogo wa 46000 utakuwa umejijengea nafasi ya kupata faida zifuatazo 👇..*
1.Faida za juu za kila bidhaa utakayokuwa umeiuza (retail profits)
2. Bonus kila mwezi kulingana na kazi uliyofanya na uko ngazi gani ?
Mfano kuna wagavi wa makampuni tunawaona mtaani kwetu hasa watu wa ice cream n.k
Watu hawa husambaza na kuuza na kupata faida za reja reja ila zile bidhaa hazina points za kuwafanya walipwe mwisho wa mwezi
BF SUMA iko tofauti na mfumo huo wa biashara wawo wamekuacha na faida nyingi kuja kwako
3. Gawio la kukusaidia katika biashara kwa ngazi ya nne na 7 (kuna vigezo vyake hapa )
4.Faida ya uongozi ukifikia ngazi kuanzia ya 8 na kuendelea hadi 10% ya points
5. Faida za kusafiri nje ya nje ukiwa umekidhi vigezo ndani ya mwaka
Kuna safari za mbali na za jirani na bara la Africa yaani International travel Award ($4000)
Intercontinental travel Award ($2000)
6.Faida za magari

Photos from Health tz's post 06/04/2022

Tunajali afya ya ngozi yako kwa kutambua hilo tumekuleteeni
Sabuni iliyotengenezwa kwa asali mwitu,green tea,liwa na mbegu za zabibu kwa asilimia 100%
Faida yake
1)hupambana na uzee na kuondoa mikunjo
2)hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muonekano nadhifu
3)huondoa mapunye ,chunusi na mafuta yaliyo zidi kwenye ngozi.

Piga simu no. 0767054468 kwa maelezo zaidi na kuapata order yako.
NB:tunafanya delivery mikoa yote tanzania.
Karibuni sana.

Photos from Health tz's post 05/04/2022

Tunajali afya ya ngozi yako kwa kutambua hilo tumekuleteeni
Sabuni iliyotengenezwa kwa asali mwitu,green tea,liwa na mbegu za zabibu kwa asilimia 100%
Faida yake
1)hupambana na uzee na kuondoa mikunjo
2)hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muonekano nadhifu
3)huondoa mapunye ,chunusi na mafuta yaliyo zidi kwenye ngozi.

Piga simu no. 0767054468 kwa maelezo zaidi na kupata order yako.
NB:tunafanya delivery mikoa yote tanzania.
Karibuni sana.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dodoma