Jessy healthy wellness
.Afya na virutubisho.
.Afya kwa ya akina mama na akina baba.
.Afya ya watoto
. Elimu kuhusu uzit
24/07/2020
ONDOA TATIZO LA MISULI KUSINYAA, KULEGEA NA KUKOSA HAMU WAKATI WA TENDO
Wanaume wengi hawajui hili jambo la uume kusimama legevu au kusimama na kunywea tena linatokana na nini. Ili uume usimame kuna vitu vingi inabidi viwe sawa katika mwili wako. Kwanza mfumo wa hisia zako inabidi uwe sawa.
Pili mfumo wa fahamu pia uwe sawa.
Tatu mfumo wa mzunguko wa damu mwilini uwe sawa kwani uume husimama tu baada ya damu kukimbilia kwenye uume kufuatia mtu kusikia hamu ya tendo la ndoa. Maana hapo function ya moyo pia inabidi iwe very intact.
Lakini hamu ili ije inabidi mfumo wa hormones za mwili wako uwe sawa. Hormones ziwe katika uwiano sawa.
Mfano kuna hormone inayochochea wewe usikie hamu ya tendo la ndoa. Hiyo hormone k**a ipo katika kiwango cha chini basi utasikia hamu kwa mbali sana au hakuna kabisa hivyo uume nao hautopata mawasiliano ya kupokea damu inavyotakiwa na hivyo utasimama kwa ulegevu au kutosimama kabisa.
Lakini pia ili uume ufanye kazi vizuri hasa wakati wa tendo inabidi mfumo wako wa misuli uwe vizuri. Nk nk.
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo inabidi yawe sawa kwanza ndipo wewe uone mambo yanakuwa swadakta!
Kwa hiyo tatizo hili ni pana siyo k**a watu wanavyofikiri. Na hivyo kutatua tatizo hilo inahitaji kuhakikisha chochote utakachofanya kinakusaidia kuboresha mifumo hiyo ya mwili. Short cut haikusaidii kutatua tatizo la kusinyaa au misuli kulegea. Utajikuta linazidi kuwa sugu siku ukija kutaka kulitatua sasa unakuta limeshakuwa kubwa kweli.
Unakuwa huna tofauti na mtu anayepata kiupele anakidharau mwisho anakuta ni saratani.
SULUHISHO
Sisi tunakusaidia kutatua tatizo lako HOLISTICALLY yaani kwa upana wake. Ni wachache wanaopenda kutatua tatizo kiujumla.
Wengi wanataka tu shortcut tu hasa vijana wadogo. Watu wazima wanaelewa kuwa ukitaka kumaliza shida katika maisha usitafute shortcut.
Wengi tumewasaidia wengine shida ilikuwa ya miaka mingi.
TIBA
wengi huhitaji kutatua na hujikuta wakiangukia kwenye tiba za kichina au madawa ya hospitalin ambapo huweza kupata suluhisho la mda na baadae kuishia kwenye matatizo makubwa baadae na kujutia tiba ile.
Tunatibu kwa kutumia vilutubisho/lishe (supplements) ambazo hutokana na mimea na matunda. Tunatumia bidhaa k**a
-ARG+
-MULTI MACA na ALOE VERA GEL
JE UNAHITAJI MWONGOZO ZAIDI,
TUPIGIE KWA NAMBA:
+255755254734
NJOO WHATSAPP KWA LINK HII:
https://wa.me/255678817787
Na utapata jawabu la tatizo hilo au changamoto zingine za nguvu za kiume na Uzazi kwa ujumla.
KARIBU SANA.
07/07/2020
MRUNDIKANO WA UCHAFU KWENYE MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA NI HATARI SANA
IJUE SIRI YA KUTUMIA ALOE VERA GEL
# Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hufanya kaz ya kuvunja vunja chakula,kufyonza virutubisho vilivyomo kwenye chakula na kuondoa uchafu utoka nao na mabaki ya vyakula nje ya mwili kwa njia ya kinyesi.
# Ili mfumo huu ubaki salama na ufanye kaz yake vizuri inatakiwa uchafu utolewe kwa njia ya haja kubwa ndani ya masaa 6 hadi 12.
watu wengi hawapati haja kubwa kwa mda; yaweza kua siku nzima,siku mbili, tatu wengine had NNE hivyo kufanya uchafu huu kujirundka.
unaobakia kwenye utumbo kwa mda mrefu heleta madhara makubwa sana kiafya ikiwemo.
1.Kutopata choo kabisa hii ni hatarii kwa husababisha bacteria waliopo kwenye uchafu kusababisha magonjwa kwa muhusika mfano UTI
2.Kupata choo kiigumu hvyo kumfanya MTU apate maumivu makali sana wakat wa kujisaidia wakati mwingine sehemu ya hajambo kubwa huchanika na kutoka dam.
3.Bawasili (nyama kuota kwenye njia ya
haja kubwa)
4. Magonjwa ya utumbo k**a kansa ya utumbo .
5. Humfanya MTU kukosa raha,kuwa na hasira hasira ,na kujisikia amechokachoka kwan mwili umebeba uchafu ambao ni sumu mwilini hvyo kuharibu mudi
KUJIEPUSHA NA MADHARA YATOKANAYO NA TATIZO HILI
Zipo njia mbali mbali za kukutumia kuepuka tatizo hili,
kuna virutubsho viwili vya asili ambavyo mm mwenyewe huvitumia na huwashaur wengine kuvitumia, ambevyo ni ALOE VERA GEL.
Hiki ni kirutubisho sio dawa na kina faida nyingi sana kiafya.
ALOE VERA GEL
Hiki ni kinywaji asilia kina uwezo mkubwa sana wa kusafsha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ,na kufanya utoaji wa uchafu kua rahisi na wakiwango kinachotakiwa.
Kinywaji hiki kina virutubisho zaid ya 75 na compaund zaid ya 200 vitamin 12,ikiwemo,B12,madini 20,amino acids 18 na enzymes. Na kimetengenezwa na alovera kwa asilimia 99.
Pia kinywaji hili husaidia
sumu zitokanazo na kemikali zinazoingia mwilin kwa njia ya vyakula ,madawa nk.
husaidia kuondoa vimbe na vidonda vya tumbo
kupunguza aleji mwilini na,huupa mwili nguvu,
kuimarisha kinga ya mwili.
kubalance sukari mwili
hiki husaidia sana kwenye mfumo wa chakula na kufanya kazi ya usafishaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ufanyike vizuri.
Mbali ya faida hyo zpo nyngne k**a
mwili usipate athar za mionzi ya kua ,seli za kabsa na kurekebsha kiwango cha sukari mwilini.
kuboresha mfumo wa mzunguko wa damu
uwezo wa mwili kutumia insulin na hvyo kudhibit kiwango cha sukari kwenye damu
ufyonzwaji wa virutubisho
# husadia kutuliza kutapka tap kwa wajawazito( hutuliza morning sickness)
kupunguza cholesterol .
TUMIA ALOE VERA GEL kwa afya ya mmeng'enyo wa chakula na kuifanya afya yako iwe imara.
Kwa mahitaji ya hizi bidhaa tuwasiliane kwa namba hii
+255755254734
Au WhatsApp kwa fungua link hii https://wa.me/255678817787
Popote ulipo zitakufikia.
21/06/2020
BORESHA AFYA YA UZAZI NA TENDO LA NDOA KWA ARGI+ NA ALOE GEL JUICE.
Kwanini utumie kinywaji cha Aloe gel?
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
•Kuondoa sumu mwilini
•Kuondoa gesi tumboni
•Kuondoa tatizo la kukosa choo na constipation
•Kurekebisha hedhi na kuondoa maumivu yanayosumbua kipindi cha hedhi
•Kusafisha utumbo uliochafuka
•Kurekebisha sukari na afya ya kongosho
•Kurejesha hamu ya kula
•Kuondoa uchovu wa mara kwa mara na ukosefu wa usingizi
•Kuongeza madini ya Zinc mwilini hivyo kusaidia ukuaji wa viyngo vya uzazi
Kwanini utumie ARGI+
•••••••••••••••••••••••••••••
1. Argi+ itasaidia kwenye kuondoa sumu mwilini kutokana na matunda ya berries na komamanga.
2. Itatanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya moyo pamoja na pressure.
3. Itasaidia kurekebisha matatizo ya nguvu za kiume maana damu kutembea vizuri ndio kila kitu kwenye hilo eneo,
4. Itasaidia kwenye kujenga mifupa na misuli hasa hasa kwa wale wanaofanya mazoezi sana.
5. Husaidia kwenye kupunguza kiwango cha Cholesterol kwenye damu.
6. Huusaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupita umri wako.
7. Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.
8. Husaidia INI katika zoezi la kutoa sumu mwilini
9. Kusaidia kuzuia ukuaji wa Tezi dume,na pia kusaidia kuzalisha mbegu zenye afya
10. Husaidia kubalasi homoni aina zote zikiwemo Estrogen na progesterone pamoja na Testosterone. Hivyo kusaidia afya ya uzazi katika jinsia zote
MATUMIZI:-
Unaweza changanya na maji,juice fresh,maziwa au mtindi.
Kumbuka hivi ni virutubisho si dawa, na havina kemikali hatarishi ni vya asili 100%
Na haviuzwi katika maduka ya madawa,
Hupatikana katika Centre zetu.
Kuvipata Wasiliana nasi no.
+255752172472
+255755254734
PATA MWONGOZO ZAIDI KATIKA WHATSAPP KWA KUFUATA LINK HII.
https://wa.me/255678817787
08/06/2020
FURAHIA MAHUSIANO YAKO.
IMARISHA AFYA YA UZAZI NA TENDO LA NDOA KWA MULTI - MACA.
FAIDA ZA MULTI - MACA
💥Husaidia kuupa mwili nguvu,Hamu, na stamina wakati wa tendo.
💥Huimarisha misuli ya ASKARI aliolegea kutoka na kujichua.
💥Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileleni
💥Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance
💥Husaidia kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi
💥Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, hivyo kuepusha kuasithirika kwa tezi dume
💥Husaidia kupunguza msongo wa mawazo.
Call/ WhatsApp 0755254734
Fuata link hii itakuleta WhatsApp andika maca. https://wa.me/255678817787
08/06/2020
MRUNDIKANO WA UCHAFU KWENYE MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA NI HATARI SANA.
IJUE SIRI YA KUTUMIA ALOE VERA GEL
# Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hufanya kaz ya kuvunja vunja chakula,kufyonza virutubisho vilivyomo kwenye chakula na kuondoa uchafu utoka nao na mabaki ya vyakula nje ya mwili kwa njia ya kinyesi.
# Ili mfumo huu ubaki salama na ufanye kaz yake vizuri inatakiwa uchafu utolewe kwa njia ya haja kubwa ndani ya masaa 6 hadi 12.
watu wengi hawapati haja kubwa kwa mda; yaweza kua siku nzima,siku mbili, tatu wengine had NNE hivyo kufanya uchafu huu kujirundka.
unaobakia kwenye utumbo kwa mda mrefu heleta madhara makubwa sana kiafya ikiwemo.
1.Kutopata choo kabisa hii ni hatarii kwa husababisha bacteria waliopo kwenye uchafu kusababisha magonjwa kwa muhusika mfano UTI
2.Kupata choo kiigumu hvyo kumfanya MTU apate maumivu makali sana wakat wa kujisaidia wakati mwingine sehemu ya hajambo kubwa huchanika na kutoka dam.
3.Bawasili (nyama kuota kwenye njia ya
haja kubwa)
4. Magonjwa ya utumbo k**a kansa ya utumbo .
5. Humfanya MTU kukosa raha,kuwa na hasira hasira ,na kujisikia amechokachoka kwan mwili umebeba uchafu ambao ni sumu mwilini hvyo kuharibu mudi
KUJIEPUSHA NA MADHARA YATOKANAYO NA TATIZO HILI
Zipo njia mbali mbali za kukutumia kuepuka tatizo hili,
kuna virutubsho viwili vya asili ambavyo mm mwenyewe huvitumia na huwashaur wengine kuvitumia, ambevyo ni ALOE VERA GEL.
Hiki ni kirutubisho sio dawa na kina faida nyingi sana kiafya.
ALOE VERA GEL
Hiki ni kinywaji asilia kina uwezo mkubwa sana wa kusafsha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ,na kufanya utoaji wa uchafu kua rahisi na wakiwango kinachotakiwa.
Kinywaji hiki kina virutubisho zaid ya 75 na compaund zaid ya 200 vitamin 12,ikiwemo,B12,madini 20,amino acids 18 na enzymes. Na kimetengenezwa na alovera kwa asilimia 99.
Pia kinywaji hili husaidia
sumu zitokanazo na kemikali zinazoingia mwilin kwa njia ya vyakula ,madawa nk.
husaidia kuondoa vimbe na
04/06/2020
MULTIMACA NI KIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA WANAUME NA WANAWAKE.
HUSAIDIA:
1. KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA, STAMINA NA NGUVU.
2. KUBORESHA MSUKUMO WA DAMU AMBAYO NI MUHIMU KWENYE NGUVU ZA KIUME.
3. KUZUIA UKUAJI WA TEZI DUME.
4. KUONGEZA IDADI NA UBORA WA MBEGU.
5. KUPUNGUZA ATHARI ZA MSONGO WA MAWAZO KWENYE MWILI.
6. INARUTUBISHA MAYAI.
KWA MAELEZO ZAIDI NA KWA ORDERS WASILIANA NASI
BONYEZA LINK HII KUJA WHAT'S UP MOJA KWA MOJA KUPATA HUDUMA...
https://wa.me/255678817787
AU PIGA/TUMA SMS KWA NO HII
+255755254734
02/06/2020
20/05/2020
JE! UNAWAFAHAMU WANAUME WANAOPITIA CHANGAMOTO HII??.
K**a mwanaume unajisikiaje kupitia jambo hili?
Kwangu ilikua ngumu sana,
nakumbuka mwanzoni mambo yalikua yanaenda vizuri huko ndani. Mwanamke alinifurahia sana na kwa kweli nilijiona mwanaume. Baadae mambo yalibadilika nilianza kukosa hamu ya tendo la ndoa, na hata nilipoipata haikua active sana, uume wangu ulisimama kwa muda kidogo tena ukiwa mregevu sometimes nilikosa tu nguvu za mwili. Nilishangaa sana na wala sikujua tatizo limetokana na nini? Hata mbegu za kiume zilikua zinatoka chache au hazitoki kabisa most of the time niliwahi kufika kileleni.....
Hali hii ilinikosesha furaha hata mwanamke niliona hayuko comfortable tena kushiriki tendo na Mimi, kila nilipojaribu kumpapasa hakuonesha ushirikiano kwasababu mara kadhaa nimefanya hivyo lakini uume hausimami au nawahi kufika kileleni....niliumia sana siku mwanamke alivyo nitamkia "WEWE SIO MWANAUME" imagine umemzalisha watoto watatu halafu Leo anasema hivyo.. nilijisikia aibu sana na nilianza kuogopa hata kulala nae ilifikia hatua hata chakula alichopika niliona aibu kula kwasababu aliwahi kuniambia "unakula hufanyi kazi yoyote huko ndani" Duuuuu hakuna wakati mgumu k**a huu.
Kazini niliomba overtime ili tu niwe nachelewa home nikute amesha lala kuepusha zogo na dharau. Ilifikia hatua hata mshahara wangu sikuona thamani yake k**a naambiwa "mwanaume suruali wewe" means hata mahitaji ninayo gharamia kwa familia ni useless.... Ilibidi tu nianze kwenda kucheck mpira na rafik zangu atlest nirudi home muda umeenda. Au nipate zangu moja baridi then ndio nikalale.
Nilijaribu kua muwazi kwa rafik zangu k**a watatu hivi lakini mambo hayakua mazuri kwasababu hata wao huko nyumbani mambo hayaendi tukajikuta hatuna solution. Kumbe unaweza kufikiri uko peke yako la! Tuko wengi, nilijaribu vitu vingi lakini bado sana tu niliishia kuboost nguvu siku tatu tatizo limerudi yani ndio mwanamke aliniona" kweli dume suruali" ile furaha ya Nyumba ilizidi kuporomoka hata nilipokua nae kwenye gari muda wote amenuna,akawa mkali kitu kidogo anaweza kuniparuza hata makucha....niliamini hamna tena namna ya kumaliza tatizo langu nikabaki kua mnyonge tu sijui alipata kidume huko maana alinisahau kabisa nikawa mwanaume jina tu. Siwezi kumlaumu mwanamke kwasababu alinivumilia sana tatizo lilipoanza alinipa ushirikiano sana baadae akanikatia tamaa....mwanaume mwenye akili nafikir unaelewa hali ikiwa hivi nyumbani na hata k**a hayaja kukuta bora ujue solution mapema unaweza kufa kwa pressure au kujidharau though hujamwambia mtu inakua tu internal conflict....
Nimejaribu kuweka wazi ili kupanua uelewa wetu wanaume juu ya tatizo hili.Ni
Mwaka unakaribia kutimia sasa naanza kuona hali imebadilika mambo yanaenda vizuri. Naona hata mwenzangu amekua na ushirikiano na furaha imerejea natamani uone Nyumba ilivyo na amani zile fujo zote hazipo tena....nadhani hata wewe ungetamani iwe hivyo kwako.
Upungufu wa nguvu za kiume ni jambo nyeti sana ndugu yangu, nimegundua ni muhimu mwanaume kufahamu mapema namna ya ku-mantain nguvu zako kwasababu it's a lifetime huitaji tu kupooza tatizo kwa kufanya shortcut za hapa na pale k**a nilivyokua nafanya ku- boost then napiga mzigo kesho tatizo palepale..unaweza kuitwa majina mabaya nakumbuka nimewahi kulia machozi nikajuta kua mwanaume...see?..
Kwa sasa nafuraha sana kukushirikisha jambo hili na nimeanza kuona mabadiliko japo imenichukua muda kidogo lakini kumbe heshima ndani sio pesa tu au huduma za chakula NO" hata uanaume wangu nao ni asset kubwa huko ndani.
Sasa pengine unajiuliza sana nini hasa nilitumia au changamoto yako itatokaje,?
Zipo njia ama bidhaa zinaweza kukusaidia sana kuondokana na tatizo hili na ukafurahia Ndoa yako.
Kwa ushauri zaidi na namna ya kupata Huduma Yetu comment namba yako au piga kupitia..
+255755254734/752172472
Gusa link hii......https:/255678817787
AFYA YA UZAZZI KWA KINA BABA
UUMME KUSIMAMA KWA ULEGEVU (ERCTILE DSFNCTION)
Kwa kifupi:
Wanaume wengi hawajui hili jambo la mashine kusimama legevu au kusimama na kunywea tena linatokana na nini.
Ili uumme usimame kuna vitu vingi inabidi viwe sawa katika mwili wako.
»»Kwanza mfumo wa hisia zako inabidi uwe sawa,
»»Pili mfumo wa fahamu pia uwe sawa,
»»Tatu mfumo wa mzunguko wa damu mwilini uwe sawa kwani uumme husimama tu baada ya dam kutiririka na kujaa kwenye mishpa ya uumme baada ya mtu kupata hamu ya tendo la nnddoa. Na hapo function ya moyo pia inabidi iwe very intact. Licha ya hayo yote ham ili ije inabidi mfumo wa hormones za mwili wako uwe sawa (Hormones ziwe katika uwiano sawa).
Mfano kuna hormone inayochochea mtu apate ham ya tendo. Hiyo hormone k**a ipo katika kiwango cha chini basi utapata hamu kwa mbali sana au hutopata kabisa. Hivyo uumme nao hautopata mawasiliano ya kupokea damu inavyotakiwa na hivyo utasimama kwa ulegevu au kutosimama kabisa.
Lakini pia ili uumme ufanye kazi vizuri hasa wakati wa tendo inabidi mfumo wako wa misuli uwe vizuri...
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo inabidi yawe sawa kwanza ndipo wewe uone mambo yanakuwa swadakta!
Wanaume wengi wanakumbana na tatizo la erctile dsfuction. Hili tatizo ni pana siyo k**a watu wanavyofikiri. Na kutatua tatizo k**a hili inahitaji kuhakikisha chochote utakachofanya kinakusaidia kuboresha mifumo yote ya mwili. Short cut haikusaidii kutatua tatizo la Erctile Dsfunction. Usipokua makin pindi upatapo tatizo katika mfumo wa uzazzi utajikuta linazidi kuwa sugu na siku ukija kutaka kulitatua sasa unakuta limeshakuwa kubwa kweli. Unakuwa huna tofauti na mtu anayepata kiupele anakidharau mwisho anakuta ni saratani (cancer).
SULUHISHO
Sisi tunakusaidia kutatua tatizo lako kwa upana wake. Ni wachache wanaopenda kutatua tatizo kiujumla. Wengi wanataka shortcut tu. Wapo wanaoelewa kuwa ukitaka kumaliza shida katika maisha usitafute shortcut.
TIBA
Wengi huhitaji kutatua na hujikuta wakiangukia kwenye tiba za ajabu ambazo hua ni suluhisho la mda (kuboost) na baadae kuishia kwenye matatizo makubwa pamoja na kujutia.
Tunatibu kwa kutumia virutubisho/lishe (supplements) ambazo hutokana na mimea na matunda. Tunatumia bidhaa k**a;
+
.
Kwa maoni, ushauri, changamoto zinazohusu nguv za kiumme na mengine;
Tupigie +255755254734/752172472
Au Gusa link hii https://wa.me/255678817787
19/05/2020
BORESHA AFYA YA UZAZI NA TENDO LA NDOA KWA ARGI+ NA ALOE GEL JUICE.
Kwanini utumie kinywaji cha Aloe gel?
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
•Kuondoa sumu mwilini
•Kuondoa gesi tumboni
•Kuondoa tatizo la kukosa choo na constipation
•Kurekebisha hedhi na kuondoa maumivu yanayosumbua kipindi cha hedhi
•Kusafisha utumbo uliochafuka
•Kurekebisha sukari na afya ya kongosho
•Kurejesha hamu ya kula
•Kuondoa uchovu wa mara kwa mara na ukosefu wa usingizi
•Kuongeza madini ya Zinc mwilini hivyo kusaidia ukuaji wa viyngo vya uzazi
Kwanini utumie ARGI+
•••••••••••••••••••••••••••••
1. Argi+ itasaidia kwenye kuondoa sumu mwilini kutokana na matunda ya berries na komamanga.
2. Itatanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya moyo pamoja na pressure.
3. Itasaidia kurekebisha matatizo ya nguvu za kiume maana damu kutembea vizuri ndio kila kitu kwenye hilo eneo,
4. Itasaidia kwenye kujenga mifupa na misuli hasa hasa kwa wale wanaofanya mazoezi sana.
5. Husaidia kwenye kupunguza kiwango cha Cholesterol kwenye damu.
6. Huusaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupita umri wako.
7. Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.
8. Husaidia INI katika zoezi la kutoa sumu mwilini
9. Kusaidia kuzuia ukuaji wa Tezi dume,na pia kusaidia kuzalisha mbegu zenye afya
10. Husaidia kubalasi homoni aina zote zikiwemo Estrogen na progesterone pamoja na Testosterone. Hivyo kusaidia afya ya uzazi katika jinsia zote
Kupata huduma zetu piga namba ...+255752172472
Gusa link hii..... https://wa.me/+255678817787
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makole Street
Dodoma
