ikupajaphet

ikupajaphet

Share

Tunatoa ushauri na tiba kwa changamoto mbali mbali za kiafya, tunatibu kwa kutumia vyakula

11/01/2022

Je umeambiwa una uvimbe kwenye kizazi nawe ukahangaika kutafuta suluhisho na kujapata, Yes karibu nikuhudumie sasa upate suluhisho la kudumu
https://wa.me/message/VFT26GREZ42XH1

03/12/2021

[12/2, 20:00] ikupareubengh: HIZI NDIZO DALILI ZA FUNGUS

1. Kuwashwa ukeni ( nje au ndani) muwasho huu huongezeka kadri joto linavyokuwa kali na pia huzidi wakati wa usiku.

2. Kutokwa na uchafu ukeni, mwanzoni unaanza kidogo muda unavyozidi kwenda na wenyewe unaongezeka na kutoa harufu.

3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa au wakati wa kukojoa
๐Ÿ’๐ŸŒน
[12/2, 20:06] ikupareubengh: JINSI GANI UNAWEZA KUJIKINGA NA FUNGUS

1. Epuka matibabu yasio rasmi, usijitibu mwenyewe k**a hauna elimu ya afya.

2. Kula matunda na mboga mboga kwa wingi kuboresha kinga ya mwili.

3. Usiendelee kutumia dawa unayotumia k**a hauponi, tafuta utaalamu zaidi.

4. Tumia kondomu, pia mwanaume anaweza kukuletea fungus.

5. Usitumie madawa hovyo ovyo hasa antibiotics na steroids

6. Epuka sabuni kali wakati wa kujisafisha ukeni.

7. Usivae nguo za kubana, acha uke upumue.

8. Tibiwa magonjwa yanayopelekea upungufu wa kinga mwilini, k**a vile kisukari.

Ahsante!
Imeandaliwa na kuletwa kwenu nami ninaejali afya yako
Madam Ikupa
๐Ÿ“๐Ÿ’

01/12/2021

Inamsaidia mtoto kumpa hamu ya kula, Ina Omega 3 ambayo inamsaidia ubongo wa mtoto uwe active hiyo itamsaidia katika kukua kwake kimwili na kiakili kwani atakuwa anakula vizur na akili iko vizur.

Kumbuka hivi ni virutubisho lishe na kanuni na virutubisho lishe kuondoa kiini cha tatizo na transform upya mwili kujiimarisha hivyo basi ukitumoa vina faida zaidi ya tatu mwilini kwa wakati mmoja.

Ijaribu leo utaifurahia nipigie kuipata sasa 0755734255

01/12/2021

Je wajua sasa unaweza kutibu Bawasiri bila kufanyiwa upasuaji?

Ndio, habari njema ni kwamba sasa tumekuletea dawa itakayo maliza kabisa hiyo Bawasiri na haitojirudia tena.

Tupigie 0755734255

24/08/2021

Jipatie kwa ofa kwa ya Tsh. 30,000

24/08/2021
23/08/2021

*Hii Ni Zawadi Yako ,Super Women*

๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Inatibu UTI
๐Ÿ‘‰๐ŸฟInatibu fangasi sugu (miwasho sehmu za Sir Ii)
๐Ÿ‘‰๐ŸฟInandoa harufu mbaya ya uke
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Inaondoa uchafu wa kunuka sehemu za uke
๐Ÿ‘‰๐ŸฟInabalansi hali ya uke ,na kuweka uteute ,
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟkuondoa ukavu wa uke
๐Ÿ‘‰๐ŸฟInaondoa maji maji mengi ukeni
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Inabana uke na kuweka kuwa mzuri kwa mwanaume kwa Tendo la ndoa
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Inaondoa maumivu ya uke wakati watendo la ndoa
๐Ÿ‘‰๐ŸฟInarejesha hisia za mwanamke wakati watendo la ndoa
๐Ÿ‘‰๐ŸฟInaondoa michubuko ya uke
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ *Inaweza tumika kwa mwanamke mweye hitajio la furaha ya ndoa ,Uwe unaumwa uwee hauumwe unaweza Tumia tu
*Ipo katka mfumo wa Asili 100%haina madhara kwa mtumiaji

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dodoma

Opening Hours

Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00