ikupajaphet
Tunatoa ushauri na tiba kwa changamoto mbali mbali za kiafya, tunatibu kwa kutumia vyakula
11/01/2022
Je umeambiwa una uvimbe kwenye kizazi nawe ukahangaika kutafuta suluhisho na kujapata, Yes karibu nikuhudumie sasa upate suluhisho la kudumu
https://wa.me/message/VFT26GREZ42XH1
11/01/2022
03/12/2021
[12/2, 20:00] ikupareubengh: HIZI NDIZO DALILI ZA FUNGUS
1. Kuwashwa ukeni ( nje au ndani) muwasho huu huongezeka kadri joto linavyokuwa kali na pia huzidi wakati wa usiku.
2. Kutokwa na uchafu ukeni, mwanzoni unaanza kidogo muda unavyozidi kwenda na wenyewe unaongezeka na kutoa harufu.
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa au wakati wa kukojoa
๐๐น
[12/2, 20:06] ikupareubengh: JINSI GANI UNAWEZA KUJIKINGA NA FUNGUS
1. Epuka matibabu yasio rasmi, usijitibu mwenyewe k**a hauna elimu ya afya.
2. Kula matunda na mboga mboga kwa wingi kuboresha kinga ya mwili.
3. Usiendelee kutumia dawa unayotumia k**a hauponi, tafuta utaalamu zaidi.
4. Tumia kondomu, pia mwanaume anaweza kukuletea fungus.
5. Usitumie madawa hovyo ovyo hasa antibiotics na steroids
6. Epuka sabuni kali wakati wa kujisafisha ukeni.
7. Usivae nguo za kubana, acha uke upumue.
8. Tibiwa magonjwa yanayopelekea upungufu wa kinga mwilini, k**a vile kisukari.
Ahsante!
Imeandaliwa na kuletwa kwenu nami ninaejali afya yako
Madam Ikupa
๐๐
01/12/2021
Inamsaidia mtoto kumpa hamu ya kula, Ina Omega 3 ambayo inamsaidia ubongo wa mtoto uwe active hiyo itamsaidia katika kukua kwake kimwili na kiakili kwani atakuwa anakula vizur na akili iko vizur.
Kumbuka hivi ni virutubisho lishe na kanuni na virutubisho lishe kuondoa kiini cha tatizo na transform upya mwili kujiimarisha hivyo basi ukitumoa vina faida zaidi ya tatu mwilini kwa wakati mmoja.
Ijaribu leo utaifurahia nipigie kuipata sasa 0755734255
01/12/2021
Je wajua sasa unaweza kutibu Bawasiri bila kufanyiwa upasuaji?
Ndio, habari njema ni kwamba sasa tumekuletea dawa itakayo maliza kabisa hiyo Bawasiri na haitojirudia tena.
Tupigie 0755734255
24/08/2021
Jipatie kwa ofa kwa ya Tsh. 30,000
24/08/2021
23/08/2021
*Hii Ni Zawadi Yako ,Super Women*
๐๐ฟ Inatibu UTI
๐๐ฟInatibu fangasi sugu (miwasho sehmu za Sir Ii)
๐๐ฟInandoa harufu mbaya ya uke
๐๐ฟ Inaondoa uchafu wa kunuka sehemu za uke
๐๐ฟInabalansi hali ya uke ,na kuweka uteute ,
๐๐ฟkuondoa ukavu wa uke
๐๐ฟInaondoa maji maji mengi ukeni
๐๐ฟ Inabana uke na kuweka kuwa mzuri kwa mwanaume kwa Tendo la ndoa
๐๐ฟ Inaondoa maumivu ya uke wakati watendo la ndoa
๐๐ฟInarejesha hisia za mwanamke wakati watendo la ndoa
๐๐ฟInaondoa michubuko ya uke
๐๐ฟ *Inaweza tumika kwa mwanamke mweye hitajio la furaha ya ndoa ,Uwe unaumwa uwee hauumwe unaweza Tumia tu
*Ipo katka mfumo wa Asili 100%haina madhara kwa mtumiaji
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dodoma
Opening Hours
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
