Shaban WellnessTz

Shaban WellnessTz

Share

Suluhisho la changamoto mbalimbali za kiafya, kwa wanaume na wanawake. Tunatibu kwa kutumia virutubi

08/04/2023

Tumia virutubisho kutibu VIDONDA VYA TUMBO upone moja kwa moja.

04/01/2023

Nani anaijua hii.??
Nani haielewa hii?
Nani amechoka kuaibika?!
Nani anahitaji hii??

24/07/2022

PID ni hatari kwa afya ya uzazi wa mwanamke,
Kwa maelezo na tiba sahihi ya PID, wasiliana nami, kwa namba tajwa hapo chini👇👇👇

TUMA Neno WELL' kwa namba
0755430345
0747087525
(WhatsUpp/normal txt)

17/06/2022

JE UNA UNA CHANGAMOTO YA UZAZI??
mimba
kuharibika
nje ya mirija ya uzazi

Je, unachangamoto ya vimbe(fibroids) kwenye kizazi?
Je, unashida ya mvurugiko wa homoni?

Je, unapata Maumivu wa hedhi?

Je unapata Maumivu wakati wa tendo?

Je, unakosa ham ya kushiriki tendo, na ukishiriki hufurahii tendo?

Je unashida ya ukavu ukeni?

Je, unatokwa na uchafu sehem za Siri!?

Je, unapata miwasho ya Mara kwa Mara au ya vipindi ukeni?

Wasiliana nami upate ushauri na virutubisho Bora visivokuwa na kemikali hatarishi kwa afya yako..

Call/SMS/WhatsUpp:
0755430345
0747087525

15/06/2022

MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI Ni tatizo linalowatesa wanawake/ Mabinti wengi Sana..
Wengine huambiwa dawa yake Ni kuzaa tu, lakini wengi wamezaa na changamoto bado haikomi..
Wengine hutumia dawa tofautitofauti lakini haziwasaidii zaidi ya kujilimbikizia sumu tu mwilini..

Leo nimekuleteeni suluhisho la moja kwa moja juu ya shida hiyo,
Bidhaa hizi zitakusaidia kwa shida nyingi Sana K**a
💥Kuondoa kabisa maumivu wakati wa Hedhi
💥Inarekebisha mzunguko wa hedhi
💥Kubalabce homoni
💥Kuondoa vimelea vya maambukukizi kwenye viungo vya uzazi na mfumo wa mkojo
💥Hamu ya tendo la ndoa
💥Radha ya tendo la ndoa
💥Huondoa kabisa maumivu wakati wa tendo la ndoa.
N.k

Tunapatikana Dodoma, lakini pia popote ulipo bidhaa zitakufikia..

Kwa mawasiliano zaidi..
0747087525
0755430345

04/06/2022

0755430345
0747097525

NJOO INBOX..

28/05/2022

Je, unapata Maumivu kabla na wakati wa Hedhi?

Je, tarehe za siku zako hubadirikabadirika?

Je, unaenda siku saba au zaidi?

Je, baadhi ya miez hupati hedhi ingawa huna mimba?

Na je, unachangamoto ya kujirudia kwa hedhi Mara mbili kwa mwezi m'moja?

Hii sio sawa, na sio Hali ya kawaida na sio nzuri kwa afya yako.

Njoo Inbox tuzungumze, tushauriane, Kisha tulimalize tatizo mapema.
>>0747087525
>>0755430345

28/05/2022

Hizi Ni baadhi ya kadhia ambazo wanawake na mabinti wengi huzipitia bila kupata suluhisho..
Mfano; maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu, kiuno na mgongo wakati wa Hedhi, wengi huamini kuwa hakuna dawa zaidi ya kuzaa, hivo kwakuwa mda na malengo ya kuzaa bado mtu hana, Basi huendelea kuteseka kila siku..
Au mwingine huamua kuzaa tu alimradi kuepukana na maumivu haya.
Je, ni kweli hakuna suluhisho ya Hilo bila kuzaa?

Wasiliana nami Sasa ili tupeane ushauri na kuondoa changamoto zote tajwa hapo juu
0755 430345
0747087525.

14/05/2022

FOREVER multi-maca ndio jawabu lako pekee

Weka oda yako Sasa..
0755430345

09/05/2022

MVURUGIKO WA HOMONI
(HOMON IMBALANCE)

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke pale anapopata hedhi, hivo hufanya mwili kubadirika.
Asilimia kubwa ya wanawake mabadiriko huanza Kati ya miaka 40-50, Lkn pia kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14.
Mabadiriko haya kwa asilimia kubwa huanza kutokea wakati wa kuvunja ungo, hedhi, mimba, kabla na baada ya ukomo wa hedhi.
Hii husababishwa na kutokuwepo na usawa katika homoni ya Estrogen, progesterone na testosterone.

VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI

🌲 Uwepo wa takamwili na sumu nyingi mwilini
🌵 Mfumo mbovu (unbalanced lifestyle)
🌲umri kwenda Sana.
🌵 Kukoma kwa hedhi
🌲 Kutofanya mazoez
🌵Uzito mkumwa
🌲 matumiz ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.
🌵mabadiriko ya mazngr au hali ya hewa

DALILI ZA HOMON IMBALANCE.

🌾Ukavu ukeni
🦞 maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
🍡 maumivu wakati wa tendo la ndoa
🍧 upungufu wa hamu ya tendo la ndo.
🍡Mabadiriko ya siku za hedhi, na hedhi ya muda mrefu, siku 7 na kuendelea
(Heavy bleeding, au kujaza pedi kwa saa moja tu)
🦞 uchovu wa Mara kwa mara
🍧 Kukosa usingz
🍡 Uchovu Mara kwa mara,
✓ msongo wa mawazo + kukosa kujiamini
✓Maumivu ya kichwa ya Mara kwa Mara.
✓ Hasira za Mara kwa Mara
✓ Mwili kutokukia, kuonekana K**a binti mdogo, na kutokukuwa kwa via vya uzazi.

UKIENDELEA KUBAKI NA DALILI HIZO TAJWA KWA MUDA MREFU , KINGA YA MWILI UTASHUKA KWA KIASI KIKUBWA NA KUSABABISHA MADHARA MENGI K**A HAYA👇👇👇👇👇👇👇👇

😭 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
😭 Kuwa na tabia za kiume na maumbile ya kuime.
😭 Kutoshika mimba kwa muda mrefu
😭 Mimba kuharibika Mara kwa Mara
😭 Kuzeeka mapema..
😭 Kuziba kwa mirija ya uzazi
😭 Uvimbe (fibroids).

SULUHISHO

Tumia package ya virutubisho maalum kwa ajili ya Kuondokana na changamoto hiyo kabsa.

Tuma neno 'WELL' Kwa WhatsApp au norma text. >>0755430345
>0755430345

08/05/2022

UJUE UGONJWA WA P.I.D (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

P.I.D Ni maambukizi kwenye viungo vya uzazi vya mwanamke. P.I.D huokea pale bakteria waenezwao kwa tendo la kujamiiana wanaposambaa kutoka kwenye Uke(vagina) Hadi kwenye nyumba ya uzazi(uterus), mirija ya uzazi(fallopian tubes) na Ovaries.

DALILI ZA P.I.D

Dalili za P.I.D huweza kuwa ni ngumu kueleweka.
Baadhi ya wanawake hawaoni dalili zozote, kwamaana hiyo unaweza usihisi chochote Hadi pale utakaposhindwa kupata ujauzito au utakapoanza kupata maumivu ya kiuno.

DALILI ZINAZOWEZA KUJITOKEZA NI K**A
👇👇👇👇

🌵 Maumivu chini ya tumbo au nyonga. Yanaweza kuwa madogo au makali
🌲Uchafu usio wakawaida au mzito, unaweza kuwa na harufu mbaya
🌵Kutokwa damu kusiko kwa kawaida hasa wakati wa tendo au katikati ya siku za hedhi.
🌲Maumivu wakati wa kujamiana.
🌵Homa, wakati mwingine kusikia baridi.
🌲 Maumivu wakati wa haja ndogo
🌵 haja ndogo ya Mara kwa Mara na haja kutoka kwa shida.

MADHARA YANAYOWEZA KUJITOKEZA KWA MTU MWENYE P.I.D
👇👇👇👇

🌀Mimba nje ya mirija(ectopic pregnancy)
🌀 Ugumba
🌀 Maumivu sugu ya nyonga
🌀 Tubo-Ovarian abscess. P.I.D huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya njia ya uzazi..

KWA SULUHISHO LA UHAKIKA KWA KUTUMIA SUPPLEMENTS ZILIZOTHIBITI JUU YA CHANGAMOTO HII.
Tuma neno 'WELL'
Kwa namba hii, WhatsApp/ Norma txt..
0755430345

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dodoma