AFYA NI UHAI

AFYA NI UHAI

Share

weight managent/fitness/wellness and healthcare

27/11/2020

I FAHAMU ARGI PLUS (+)
MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI
YAKE
FOREVER Argi+ ni bidhaa bora kabisa kutoka katika kampuni yetu ya Forever living products
Ina L-arginine amino acid kwa kila kijiko kimoja cha Argi+
Ina Nitric oxide ambayo inasaidia kutanua mishipa ya damu hivyo kuruhusu damu kupita vizuri
Ina viondosha sumu vya *POMOGRANATE* ambavyo ni muhimu sana ili kuondoa sumu mwilini
Ina *Vitamin* *Complex* ambazo zinasaidia kujenga misuli
FAIDA ZA KUTUMIA ARGI+
1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajiili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi.
2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa.
3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla.
4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ni nzuri sana kwa tatizo la waliovunjika mifupa au wenye mifupa dhaifu.
5. Nitric oxide inayotengenezwa inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza NGUVU ZA KIUME.
6. Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, pamoja na kupunguza mafuta ndani ya mwili. Ndio maana ni nzuri sana kwa wanawake na wanaume wanaofanya mazoezi.
7. Ina "Pomegranate" na vimelea vya matunda ambavyo ni viosha sumu, husaidia kuondoa madhara ya "FREE RADICALS" mwilini
8. Inavimelea vitokanavyo na "RED WIN" ambayo inasidia kushusha kiasi cha "CHOLESTROL" mwilini.
9. Inaongeza UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0678496912au piga simu usaidiwe mapema ZAIDI WASILIANA NASI

27/11/2020

Ukipewa muda wa ziada wa dakika 30 tu utazifanyia Jambo gani la muhimu

Photos from AFYA NI UHAI's post 24/11/2020

JE, UNA MALENGO YA KUPUNGUZA UZITO/UNENE?
UNAFAHAMU FAIDA YA KUPUNGUA KIAFYA NA MADHARA YANAYOSABABISHWA NA UNENE/UZITO KUPITA KIASI NA USINGEPENDA KUYAPATA?
TUMEANDAA SHINDANO LA KUPUNGUA KWA KUTUMIA PROGRAM BORA ZA KISASA AMBAZO ZITAKUFANYA UJISIKIE VIZURI NA UFURAHIE MWONEKANO WAKO. K**A UNA MALENGO NA UNGEPENDA KUUNGANISHWA KWENYE SHINDANO ILI NAOMBA TUWASILIANE KWA +255678496912 ZAWADI NONO ITATOLEWA KWA WATAKAOFANYA VIZURI ZAIDI. VIGEZO NA MASHARITI VINAZINGATIWA

Photos from AFYA NI UHAI's post 24/11/2020

WE DONT ATTRACT MILLIONARES WE MAKE MILLIONARES! ARE U NEXT?

Naomba tumpongeze kijana Steven na mkewe kwa kuamua kuanza biashara miaka miwili iliyopita na Leo wanafurahia matunda ya Forever Living Products kwa kufikikia ngazi ya Meneja ambapo unaweza kulipa sawa na mwajiriwa ngazi ya PHD.

Ameanzia mbali kwenye maisha kutoka kuwa mchuuzi mpaka kuwa mmiliki wa biashara ya kimataifa. Na maisha yake yameanza kubadilika ndani ya muda mfupi.

Yafuatayo ni maoni yake na Ushauri;

Habari wafanya biashara wenzangu.kunavitu huwatunavichukulia kawaida lakini kiuhalisia siyo vyakawaida mfano mimi nilipokuwa machinga hakuna mtu /kiongozi aliyenikumbusha kwenda kununua,kuzunguka mitaani ili kubailisha vyombo kuwa fedha hakuna aliyenifundisha malengo hakuna aliyenipa mbinu za kukabiliana na changamoto lakini niliendesha maisha.leo nipo ktk kampuni kubwa ya kimataifa inamisingi bora ya mafunzo, mfumo mzuri inalipa vizuri lakini kila nikitafakari leo ni 30 mwezi 11 2016 nikikumbuka juhudi binafsi enzi za umachinga naona bado sija itendea haki forever kwani ni kawaida kwetu sisi masikini kupoteza mda kwa kuweka nguvu kwenyevitu ambavyo tunajua kuwa haviwezi kututo sababu ni kuchukulia kawaida vitu visivyo vyakawaida hebu chukua nafasi hii kutafakari upya hivi forever ni yakawaida? k**a siyo kwanini unaona kawaida? ikiwa forever ni ya kimataifa na wewe ni mwanachama kwanini usiwa wa kimataifa? majuto ni mjukuu wengi huwa tunakumbuka shuka wakati kumekucha mimi nimestuka tangu sasa sitaki kupoteza faida yoyote ktk faida zilizo ainishwa na forever kwani ni kwajili yangu pia.

Geuka nyuma tangu uanze biashara unamdagani pia tafakari kidogo hicho unacho kipa kipaumbele kinakulipa na umekisumbukia kwa mda gani jijibu mwenyewe ni kipi cha kawaida kati ya unacho kipa kipaumbele na forever lakini malizia na swali hili LENGO LA KAZI / BIASHARA YAKO NI NINI? Ikiwa ni kukulipa je inakulipa? hivi ndio vitu ambavyo mara nyingi huwa tunaviona ni vya kawaida lakini hutoa matokeo ya siyo ya kawaidi hii ndio maana ya majuto ni mjukuu hatujachelewa tujipange upya hakika mbele kuna ushindi kwani kila unayemona amefanikiwa aliwahi kushindwa kilichomfanya afanikiwe ni KUJIFUNZA NA KUSONGA MBELE BILA KUKATA TAMAA NI MWIKO KUKATA TAMAA PAMBANA UMASIKINI NI ADUI MKUBWA PAMBANA PAMBANA USIKATE TAMAA JIBU LIPO MBELE YAKO.

24/11/2020

Sasa hivi dunia imehama kutoka katika mfumo wa viwanda na kuhama katika mfumo wa sayansi na teknolojia na kutokana Hali hiyo biashara nyingi zinafanyika huko mtandaoni

Lengo langu Ni kukushirikisha namna ambavyo unaweza kutumia mitandao ya kijamii kutengeneza pesa bila hata kusumbuliwa na TRA wa kulipia fremu simu yako ya smartphone ndo itamaliza hayo yote

K**a unahitaji kufahamu zaidi
Tuma neno MAARIFA ya biashara kwenda Whatsaap namba 0678496912

23/11/2020

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0678496912

au piga simu usaidiwe mapema

Kuanza miaka 25 -65 tu ndo wapata hii elimu

23/11/2020

Hakuna Biashara ambayo Ni mteremko kifanya ni lazima uwe tayari kujifunza uwe tayari kufundishika uwe tayari kifanya kazi kwa bidii zako zote

23/11/2020

Nimekuwa Ni kifanya biashara mbalimbali bila mafanikio kabla sijagundua siri mpya ambayo imenisaidia kukuza biashara yangu na kuweza kupiga hatua kubwa na ninajua wewe unayesoma hii post una ndoto na unatamani siku moja ndoto zako ziweze kutumia
Na K**a upo tayari kujifunza ongozana na Mimi

23/11/2020

Madhara ya punyeto
Uume legelege (weak er****on)
Call/text/ whats up +255 678496912

Baada ya msisimko wa kimapenz hormone, misuli mshipa ya damu taarifa zinatumwa kwenda kwenye ubongo baada ya mlango wa faham wowote kati ya ngozi macho,pua,sikio,mdomo kupeleka taarifa kwenye ubongo ubongo hupeleka taarifa na moyo huanza kusukuma damu kwenye kwenye uume kupita mishipa ya damu
Kwenye uume mishipa ya dam aina mbili ndio uhusika na kujaza na kutoa damu kwa utaratibu maalumu

Punyeto inamadhara makubwa sana kwenye kusababisha uume uwe legelege kwa sababu zifuatazo

artery blood vessel

Hii ni mishipa ya kuingiza damu kwenye uume ukijichua unapasua hii mishipa na kukufanya uume usisimame kwa haraka na kua legevu

Vein blood vessel

Hii ni mishipa inayozuia damu isitoke baada ya uume kusimama ukimaliza kufanya mapenzi inaachia na kufanya damu itoke ukipasua hii mishipa damu itaruhusiwa kutoka kwenye uume na kufanya ulale ukiwa uken au kabla hujaingiza

Utatuzi wa hili ni kurepair bloods vessel kwa maana artery clog na vein clog ili ziwe imara kiufundi kwa maana kupeleka damu na kubana damu isitoke
Unaitaji nitric oxide kwa wingi sana ili utatue tatizo hili nitric oxide ipo ya hospital kwa njia ya sindano na vidonge ila ipo ya asili isiyo ya madhara ambayo ni pure k**a ile uliyozaliwa nayo hii inapatikana kwenye matunda yetu chin ya maelezo ya formula yetu....
🙏🙏🙏🙏NAKARIBISHA MASWAL NA KWA AMBAYE ATAITAJ USHAURI ZAIDI BASI NJOO INBOX🕺

Photos from AFYA NI UHAI's post 22/11/2020

KUNA AINA TANO ZA VITAMBI KWA MWANAMKE ZINAZO ASHIRIA MAANA TOFAITI SIO KILA MWAMKE MWENYE TUMBO KUBWA NI SABABU YA KULA KUNA SABABU MBALIMBALI ZINA WEZA KUSABABISHA TUMBO KUBWA.
NAZO NI...

1 POMBE
2 STREES
3 HOMONE INBALANCE
4 TUMBO KUJAA GESI
5 KUTO PATA CHOO
6 TUMBO BAADA YA UZAZI

SO AINA YA KITAMBI CHAKO NI IPI ? UKIJUA UTAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA TUMBO
WASILIANA NASI KWA MSAADA ZAIDI KUPUNGUA

Whatsup + 255678496912

Call/ text.

20/11/2020

SULUHISHO LA NDOA YAKO...

Ukweli ni kwamba ndoa nyingi pamoja na mahusiano yanavunjika kutokana na tatizo la nguvu za kiume. Watu wengi hasa wanawake wanachepuka nje sababu mahali alipo hapati tendo kwa utoshelevu. Hii ni kwa sababu mwanamke ni k**a chungu na mwanaume ni k**a sufuria.

Nina maana gani?

Wanawake ni k**a maji ya kwenye chungu yaani kwenye tendo la ndoa anapata hamu taratibu ila akiik**ata hamu anadumu na hamu kwa muda mrefu na wakati mwanaume anapata hamu haraka tu hata kwa kugusana tu. Na pia hamu ya mwanaume huisha haraka lakini ya mwanamke hupoa taratibu taratibu. Sasa hapo usipokuwa makini wewe mwanaume utafanya tendo halafu dakika kumi umeshamaliza halafu umeishiwa hamu wakati mwenzako ndo kwanza hamu imeanza kushika kasi. Aisee. Hapo k**a atakuheshimu atachepuka nje kwa siri kubwa. K**a hakuheshimu ndo mkipishana kauli kidogo tu anakutangaza kabisa mpaka instagram kuwa wewe hakuna kitu. Hapo ujue huko nje anafikishwa na wengine.

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI?

Kwa kifupi (maana hili ni jambo pana) upungufu wa nguvu za kiume ni mwanamume kutokuwa na uwezo wa kutoa mbegu bora zenye uwezo wa kutungisha mimba, au kutosimama kwa uume wakati wa tendo na kushindwa kufanya tendo la ndoa kwa muda wa kutosha au kushindwa kutimiza vyote hivyo. Yani tendo la ndoa hawezi kuperform vizuri na hata akitoa mbegu pia haziwezi kutungisha mimba.

Takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa asilimia 60 ya wanaume kwenye ndoa na mahusiano nchini wanakabiliwa tatizo hili.

Kwa hiyo, mabango ya waganga yaliyopo barabarani hayajapunguza kabisa tatizo hilo maana wanachotoa hao waganga ni shortcuts. Hapo ndipo kiini cha makala hii fupi.

Sababu kubwa ya ongezeko la wenye matatizo haya ya nguvu za kiume ni kwamba wanaume wengi hutafuta SHORT CUT na kupata vitu ambavyo vinam-boost tu leo na kesho na ni hapo ndipo janga hili la kitaifa linapoota mizizi.

Ukweli ni kwamba upungufu wa nguvu za kiume hauondolewi kwa dawa za kuchochea nguvu wakati wa tendo mfano ni vi**ra au njoi. Hizi zina madhara makubwa na mara kadhaa husababisha vifo kwa wanamume wengi wakiwa ‘guest’ na vimada wao kwani hulipua moyo. Lakini pia humfanya mhusika awe TEGEMEZI wa vitu hivyo na hatoweza kufanya tendo la ndoa vizuri tena bila vi**ra... lakini wanaume wengi wanavikimbilia kwa sababu bei rahisi halafu vinaboost fast dakika tano kitu tayari.

Sisi ambao tunatoa elimu kila siku kumfanya mtu ajue undani wa tatizo na suluhisho la kudumu wanaume wengi wala hawatusikilizi. Wanatafuta short cut za mtaani ambazo mwisho wake ni mbaya.

Ni lazima ujue kiini cha tatizo na suluhisho stahiki lipatikane. Kinyume cha hapo, janga hili linaweza kugeuka na kuwa dubwana kubwa la kukupa madhara mengine makubwa kiafya au hata kukumaliza.

Sasa sikiliza.
Matatizo ya nguvu za kiume huchangiwa na:
~ kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wowote so hakikisha huwi mtu wa kuumwaumwa kila wakati mara malaria mara tuphoid mara nini,
~ pia kuugua ugonjwa wa kisukari (kati ya wanaume 100 wanaopata kisukari 60 kati yao kisukari huanza kushambulia nguvu zao za kiume),
~ stress za maisha, aisee stress mbaya jamani achana nazo.
~ mionzi ya simu ns laptops nk, punguza kuweka simu mfuko wa suruali. Laptop weka mezani.
~ Pia sababu nyingine ni matatizo ya kisaikolojia,
~ *kupiga punyeto kwa muda mrefu.* Hapa wait wengi mno wameathirika sana sana.
~ Pia kutumia vyakula na vinywaji vyenye kemikali nk ambavyo huvuruga hormone za mwili na kufanya mwanaume kukosa hamu ya tendo la ndoa au kuwa mtu wa kumwaga haraka na kuchoka hapo hapo k**a kuku!
~ *Kuongezeka uzito na vitambi*
~ Nk

Sasa hapo unaweza kuona jinsi ambavyo sababu ni nyingi mno na hivyo kutatua tatizo inabidi upate suluhisho ambalo linacover mambo mengi. Unahitaji kuondosha madhara ya kemikali mbaya mwilini (hata gari huwa inafanyiwa service). Wewe upo tu mwili umerundika kemikali kibao ndani na wewe unashangaa kwa nini umekuwa mnyonge kitandani. Pia unahitaji kuondosha madhara ya msongo wa mawazo.. pia unahitaji kupata virutubisho sahihi ili viungo vyako vya mwili vikue vizuri na vifanye kazi bila kuchoka hata uume wako uwe vizuri. Unahitaji kuhakikisha damu inasafiri vizuri mwilini maana ili uume usimame maana yake ni damu inakuwa imekimbilia kwenye uume na kujaa kwenye uume (k**a ulikuwa hufahamu hilo). Na ndo maana VI**RA zinaweza kuua maana zinaweza kusababisha damu iende haraka tofauti na uwezo wa moyo wako wa kusukuma damu mwilini. Moyo unashindwa ku cope hiyo kasi ya ghafla then unapata mshtuko unapoteza maisha hivi hivi kwa kuwa hukujua.

So unaona nguvu za kiume si kitu cha kuzembea nacho au cha kutafuta solution kwa mtu asiye na maarifa ya jambo hili.

Ujumbe wetu ni kuwa jambo hili ni serious na wewe inabidi uwe serious kwenye kulitatua. Tumekuwa tukiwasaidia walioserious na leo hii WAMESAHAU KABISA kuhusu tatizo hilo. Wengine walikuwa hawawezi kutungisha mimba lakini leo wanalea watoto baada ya kuja kwetu na kupata JAWABU la uhakika. Wengine ilikuwa hawezi kufanya tendo la ndoa dakika tano yani anamwaga fasta halafu analala. Leo hii wanaweza kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu na kiridhisha wenza wao vizuri.

Karibu pia tukusaidie kuondokana na fedheha kitandani na hakika utakuwa shuhuda pia.
Kwa maswali/maoni/ na ushauri
+255678496912

20/11/2020

UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA CHANZO CHAKE NA DALILI ZAKE PAMOJA NA TIBA BORA KABISA SOMA UPATE ELIMU NA HUDUMA BORA

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

1- Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
2- Kuvuta sigala na unywaji wa pombe

3- Uzito kupita kiasi na unene uliozidi

4- Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Kisukari

5- Kuwa na mawazo na wasiwasi

6- Matumizi ya madawa mbalimbali

7- Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

8- Kuwa na tatizo la kibofu

9- Tabia za kujichua kwa mda mrefu

10- Kutopata usingizi kamili

11- Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana dalili zake ni k**a hizi,

1- Kuwahi kufika kileleni

2- Kukosa hamu ya mapenzi

3- Kushindwa kurudia tendo la ndoa

4- Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

5- Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa

6- kukinai kabisa tendo la ndoa au hata kusikia kichefuchefu,

7- tumbo, uso kuvimba na kujaa maji

8- Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

9- Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

10- Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika tendo la ndoa

TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI HII

FOREVER MULTI-MACA
Nikirutubisho ambacho kimetokana na mmea wa MACA unaopatikana nchini Peru. Wenzetu Peru wanachanganya kwenye chakula na mboga ili kuboresha na kuimalisha mifumo ya uzazi katika jinsia zote.

FAIDA ZAKE KWA MTUMIAJI WA KIUME.

1 - Huongeza hamu ya tendo la ndoa, stamina na nguvu za kiume.

2 - Inaongeza idadi ya mbegu za kiume.

3 - Inasaidia kutofika kileleni kwa haraka.

4 - Huimarisha misuli ya uume iliolegea.

5 - Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance.

6 - Husaidia mwanaume kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi, N.K .
FAIDA ZAKE KWA MTUMIAJI WA K**E

1 - Hurutubisha mayai na kumfanya mwanamke aondokane na changamoto ya kutokushika ujauzito.

2 - Husaidia kubalance mzunguko na maumivu makali wakati wa Hedhi kwa mwanamke.

3 - Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance.

4 - Husaidia pia kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake wenye changamoto ya kukosa hamu hiyo, N.k

ni product salama kwa mtumiaji zimethibitishwa na mashirika makubwa ya afya na chakula duniani na tunafanya delevely Tanzania nzima na nchi jirani.
KWA MAHITAJI YA HUDUMA HII WASILIANANASI KUPITIA NANBA 0678496912
AU WHATSAPP NAMBA wa.me/0678496912
KARIBU SANA.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Majengo
Dodoma
255