Mapembe afya uzazi

Mapembe afya uzazi

Share

Tunahusika na matibabu ya mfumo wa uzazi kwa wanawake na wanaume na mengineyo k**a
Mifupa
Bawasil

29/12/2023

X POWER COFFEE FOR MAN

X Power Coffee ni tiba maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

Dawa hii hufanya kazi zifuatazo:-
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa

✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha

✅Huondoa Uchovu

✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume

✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama

✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo

✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi

✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu

✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege

✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto

✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume

Ni Asili yenye viambata zaidi ya Vinne
🌷Haina Madhara yeyote Na inatibu moja kwa moja na Kuweka Kinga ya mwili.

wasiliana Nasi 0655213050

16/12/2023

Kila MWANAUME ana wajibu waiitambua ufanisi wa tendo landoa yupo katika hali ipi nasema hivyo kwa sababu changamoto hio imekua gumzo sana kwanzia umri wa vijana hadi mtu mzima au watu wazima sasa kwa Tanzania tupo katika hitimisho la mwisho kwamba kila kijana au kila MWANAUME lazima awe vizur na apone changamoto ya nguvu zakiume yaani mfumo mzima wa uzazi...

27/11/2023

🟦LIJUE TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI (Uterine Fibroids)

🔺Uvimbe kwenye kizazi ni Uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus).

🩺Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrogen.

🩺Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana.

🔵SABABU YA UVIMBE KWENYE KIZAZI

1) Kurithi.
k**a mama au dada yako aliwahi kuugua tatizo la uvimbe kwenye kizazi basi wewe pia utakuwa kwenye hatari zaidi ya kupata uvimbe huu.

2) Umri.
Wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 wapo katika hatari ya kupata tatizo hili.

3) Lishe.
Matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi huongeza hatari ya kupata tatizo hili.

4) Uzito Mkubwa Na Kitambi.
Wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

5) Matumizi Ya Njia Za Kupanga Uzazi.
Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrogen kwa wingi.

6) Kubalehe Mapema.
Wanawake wanaobalehe mapema na kuanza kupata hedhi chini ya miaka 10 wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

7) Wanawake Wenye Shinikizo Kubwa La Damu.

🔵DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

1) Kupata hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia siku 7 na zaidi (Prolonged menstrual bleeding).

2) Kupata hedhi nzito (Heavy menstrual bleeding).

3) Kujiskia umeshiba muda mwingi (Abdominal fullness).

4) Maumivu ya nyonga.

5) Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.

6) Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.

7) Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

8) Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.

9) Madhara mbalimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.

🔵 MADHARA MAKUBWA YATOKANAYO NA UVIMBE KWENYE KIZAZI

1) Ugumba (infertility).

2) Kukosa choo (constipation).

3) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

4) Tumbo kuvimba (abdominal distention).

NB
🔹 CHANGAMOTO hii wengi wanachukulia kawaida bila kujua MADHARA yake
Wasiliana nami ili upate matibabu ambayo yataondoa kabisa tatizo lako
☎️ Call/ Whatsup 065521554839

27/11/2023

Wasiliana nasi 0655213050
Kuweza kuondokana na hilo tatizo

27/11/2023

*X POWER COFFEE FOR MAN* simu0655213050

X Power Coffee ni dawa maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.
Dawa hii hufanya kazi zifuatazo:-
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume

Ni Asili yenye viambata zaidi ya Vinne
🌷Haina Madhara yeyote Na inatibu moja kwa moja na Kuweka Kinga piga simu0655213050

23/11/2023

Dalili Za Saratani Ya Tezi Dume: 0655213050

Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (Benign Prostate Hyperplasia).

Dalili hizo ni pamoja na;

a) Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.

b) Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.

c) Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.

d) Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.

e) Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu.

f) Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.

g) Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.

Kumbuka: Mtu mwenye tatizo katika tezi dume huanza kwa dalili ndogo ndogo sana mpaka mtu apate saratani ya tezi dume(prosate cancer) ujue amekaa na tatizo hilo bila kulipatia ufumbuzi, nitafute Kwa msaada zaidi

23/11/2023

● FAIDA YA MICRO2 CYCLE TABLETS
○ Huondoa Hari ya kuganda kwa damu
○ Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kwa urahisi
○ Inasaidia oxygen na virutubisho kusambazwa kwa urahisi
○ Huongeza ufanisi wa mwili kuweza kujiponya wenyewe
○ Huondoa mafuta kwenye damu
○ Huongeza ufanisi wa macho kuona vizuri
○ Huzuia kuganda kwa damu
○ Huondoa maumivu ya miguu yanayotokana na kuziba kwa mishipa midogo.
○ Ni nzuri kwa kukinga na kuondoa stroki

● VIUONGO
○ Radix Salvia
○ Miltiorhiza
○ Radix Panax Notoginseng
○Borneolum Syntheticum

● *MTUMIAJI (MUHUSIKA)
○ Wenye shida ya mzunguko wa damu.
○ Wanaohitaji kuondoa kuganda kwa damu
○ Ni nzuri kwa wanawake wenye shida ya hedhi.

● MATUMIZI
○ Vidonge 3 mala 3 kila siku (unaweka chini ya ulimi mpaka vinayayuka)
0655213050

08/11/2023

Matibabu ya mgongo kuuma. Maumivu makali baada ya kazi au kuuma muda wote kushindwa kuamka kwa haraka kitandani kwa changamoto hizi wasiliana nasi 0655213050

07/11/2023

Changamoto ya Meno yakiwa yanatoa damu ama kufa ganzi Even hata k**a yametoboka ni nzuri piah hung'arisha kwa wale wenye meno k**a njano piah Huondoa harufu kinywani 0745589316

07/11/2023

Huondoa chunusi usoni hufanya ngozi kubwa na unyevunyevu kuondoa kiharufu kwapani na hupunguza kiwango cha mafuta usoni matumizi oga na maji ya uvugvugu mar2 kwa siku acha povu usoni ndani ya dk 5 then usafishe na maji call 0655213050

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dodoma