AFYA YA MWILI
TIBA ASILIA KWAMAGONJWA YOTE KWAKUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE
+255 688843578 WHATSAPP NUMBER.
02/05/2022
Dodoma contact :0688843578
28/02/2022
UFAHAMU UGONJWA WA NGIRI NA SULUHISHO LAKE
Ngiri hujulikana pia k**a “Hernia” kwa Kiingereza. Ugonjwa wa ngiri ni matokeo anayopata mtu kutokana na misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi na kupelekea viungo hivyo kutoshikiliwa vizuri katika sehemu vinapostahili kuwepo.
Tunaweza kuufahamu zaidi ugonjwa wa ngiri k**a hali inayotokea katika mwili ambapo sehemu fulani ya nyama ya viungo mbalimbali vya mwili hujipenyeza kupitia sehemu iliyo dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili. Sehemu inayoathiriwa mara nyingi ni maeneo ya tumbo, kokwa, pumbu na kadhalika ambapo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu vinavyopitisha mishipa ya fahamu inayohudumia kokwa (Spesmatic Cord), hivyo baada ya kujipenyeza huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo hukamilisha kuwepo kwa ugonjwa wa mshipa wa ngiri.
Sehemu ambazo Ngiri inaweza kutokea ni pamoja na maeneo ya:👇🏽🤏🏾💥
👉Tumboni
👉Eneo la kinena
👉Eneo la paja kwa juu
👉Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
👉Kifuani nk
Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa jinsia zote na wa umri wowote.
AINA ZA NGIRI
Ugonjwa wa mshipa wa ngiri unaweza kujitokeza maeneo mbalimbali ya mwili na aina ya ngiri hutegemea na sehemu ngiri ilipojitokeza.
⚡Ngiri maji
– Hii ni aina ya ngiri ijulikanayo pia kwa kitaalamu k**a (hydrocele)
⚡Ngiri kavu (Hernia)
– hujulikana pia k**a ‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume
⚡Ngiri ya kwenye kifua
– hujulikana pia kitaalamu k**a ‘hiatus hernia’
⚡Ngiri ya tumbo
– hujulikana pia k**a ‘Abdominal Hernia’
⚡Ngiri ya kwenye kitovu
– hujulikana pia k**a ‘Umbilical Hernia”
⚡Ngiri ya sehemu ya haja kubwa
– hujulikana pia k**a ‘Anal Hernia’ ?
DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI CHANGA(isiyo komaa)
Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo 👇
1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
DALILI ZA NGIRI HERNIA SUGU( iliyo komaa)
Ugonjwa wa mshipa wa ngiri unaweza kujitokeza maeneo mbalimbali ya mwili na aina ya ngiri hutegemea na sehemu ngiri ilipojitokeza.
1)🦚🦚kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2)🦚🦚kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3)🦚🦚kufanyiwa UPASUAJI wa herbia mara 1
4)🦚🦚Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5)🦚🦚kunde( pumbu) kupotea zote au moja
6)🦚🦚Ngiri maji – Hii ni aina ya ngiri ijulikanayo pia kwa kitaalamu k**a (hydrocele)
Kenda kujaa maji (BUSHA)
7)🦚🦚Ngiri kavu (Hernia) – hujulikana pia k**a ‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume
Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wwnye kujaa k**a nyama
8)🦚🦚Uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani unaojulikana kitaalamu k**a Direct Scoratal inguinal Hernia.
9)🦚🦚Uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
10)🦚🦚Na pindi ukikubali kurudi ndani ndipo unapoitwa Reduible direct scrotal inguinal hernia.
11)🦚🦚Na pia endapo utashindikana kurudi tumboni ndipo unapoitwa Irreduible direct scrotal inguinal hernia.
12🦚🦚Maumivu/Kusikia
Suluhisho lake ni kufanyiwa upasuaji, (sio salama saana maana kunauwezekano wa tatizo kurudi au kukuharibia uwezo wako wa kuperform k**a Mwanaume)
AMA
Kutumia dawa za asili kwa muda wa mwezi 1 ili kumaliza kabisa tatizo hilo, ukiwa na ugojwa huu na unahitaji kutibiwa bila upasuaji kwa kutumia dawa za asili nijuze nikupe utaratibu na ufatiliaji wangu kwa muda wa mwezi 1 mpaka kupona. (Ni salama zaidi endapo ukipata tiba kamili kwa muda kamili na sahihi)
kwa Mwenye tatizo hili huwa tunamshauri achukue Nguvu Pack nzima
28/02/2022
FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME
Vyanzo Vipo Vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍️Kisukari
✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi
✍️Matumizi ya madawa mbalimbali
✍️Umri hasa wazee
✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍️Kuwa na tatizo la kibofu
✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu
✍️Kutopata usingizi kamili
✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
✍️Kuwahi kufika kileleni
✍️Kukosa hamu ya mapenzi
✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
TIBA YETU ITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
Kwa mawasiliano zaidi
0688843578
26/02/2022
Only 7 days ⏰
Bawasiri ya ndani ina hatua NNE ambazo ni:⤵️⤵️⤵️⤵️
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.
HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia
HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda
HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.
15/02/2022
*ATHARI ZA BAWASIRI*
1.?Upungufu wa damu mwilini
2.?Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.?kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.?kupungukiwa nguvu za kiume
5.?kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.?Kupata tatizo la kisaikolojia
7.?Kutopata ujauzito
8.? Mimba kuharibika
10.? Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
11.? Mwili kudhoofika
15/02/2022
*NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI*
1.?Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
2.?kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
3.?Acha kufanya mapenzi kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
4.?Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
5.? Acha kunywa pombe
6.?Punguza kula nyama nyekundu
7.?Punguza matumizi ya pili pili.
8.?Jitibie vidonda vya tumbo
9.? Jitibie Ngiri
10.? Dhibiti uzito wako
11.? Jiepushe/punguza kunyanyua vitu vizito mara kwa marafiki.
*AINA ZA BAWASIRI* ⤵️
-Kuna aina 2 za Bawasiri k**a ifuatavyo⤵️⤵️⤵️⤵️
1⃣. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.
2️⃣.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Majengo Sokoni
Dodoma
255
