AFYA IMARA Foundation 01
Tunatibu kwa kutumia virutubisho lishe toka kwenye mimea asili magonjwa yakuambukiza na yasioambukiza
01/11/2023
KUTOKA DAMU UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA.imara123
Tatizo hili kitaalamu linajulikana k**a post co**al bleeding. Tatizo hili linawakumba wanawake hasa ambao wana matatizo ya mvurugiko wa hormone hasa hasa hormone ya estrogen na pia wanawake waliofikia ukomo wa hedhi.
👉 Hali hii inaweza kuambatana na maumivu na kwa wengine isiwe na maumivu kulingana na chanzo chake.
👉Ukubwa wa tatizo.
👉Tafiti zinaonesha kwamba ni asilimia 9% ya wanawake ambao hawajafikia ukomo wa gedhi wanapata tatizo hili na asilimia 63% ya wanawake waliofikia ukomo wa hedhi wanakumbwa na hali hii.imara123
VISABABISHI VYA TATIZO HILI👇👇
hali hii inaweza kutokana na sababu k**a ukavu au uke kuwa mwembamba sana hivyo kupelekea kupata michubuko wakati wa tendo la ndoa.
Pia hali hii inaweza kuwa dalili ya tatizo la kiafya hivyo sio ya kubeza.imara123
Yafuatayo ni magonjwa yanayoweza kusababisha kutoka damu wakati wa tendo la ndoaimara123
👉Saratani ya mlango wa kizazi
👉Kuvimba kwa mlango wa kizazi
👉 Maambukizi katika via vya uzazi(PID)
👉 Maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa, nk
👉 Uke kukauka kutokana na kupungua kwa ute au kukoma kwa hedhi
👉 Kuharibika kwa uke kutokana na msuguano wakati wa tendo la ndoa
👉 Kuchubuka kwa shingo au mlango wa uzazi
👉Mzunguko wa hedhi kubadirikabadirika
👉 Vidonda ukeni vitokanavyo na maambukizi ya zinaa
👉 Saratani ya tumbo la uzazi
👉 Mlango wa kizazi kutokeza nje ya uke
👉Kutokwa na damu ukeni wakati wa tendo la ndoa sio hali ya kawaida kwa wanawake ambao si bikra. Sio kitu cha kuchukulia poa kwani inaweza kuwa dalili ya tatizo katika mwili wako. Hivyo basi unapopatwa na hali hii usikae kimya onana na daktari ili k**a kuna tatizo litibiwe mapema.
Ushauri na tiba
Call &wsp
0658078222
Instagram 👇👇imara123imara123imara123
01/11/2023
.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na mayai kushindwa kupevushwa kwa wakati. Idadi ya mayai na ubora wa mayai unapungua, mwanamke anapofika umri kati ya miaka 30 mpaka 40. imara123
Sababu nyingine zinazofanya kupata ujauzito baada ya miaka 35 kuwa vigumu ni pamoja na:
Maambukizi au upasuaji uliosababisha kovu kwenye tishu maeneo yanayozunguka mfuko wa mimba,mirija ya falopiani au mlango wa kizazi cha mwanamke.
Ugonjwa wa “endometriosis”.Uvimbe katika mfuko wa uzazi.
Upungufu wa uteute ndani ya mlango wa kizazi.
Magonjwa ya kudumu/sugu k**a shinikizo la damu au kisukari.imara123
Kuharibika mimba pia ni tatizo kubwa kwa wanawake wenye umri zaidi ya miaka 35. Hii inasababishwa na ongezeko la mabadiliko ya jenetiki za uumbaji. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35-45 wana nafasi kati ya asilimia 20-35 ya mimba kuharibika.
Mwanamke aliye na afya kimwili,kiakili na kihisia anaweza kupata ujauzito – pombe,sigara na matumizi ya kahawa(vinywaji vyenye kafeni) zinaweza kupunguza nafasi ya wewe kupata ujauzito. Pia kuwa na uzito mdogo au mkubwa sana inaweza kuingilia ufanyaji kazi wa homoni.imara123
Angalia ishara za mwili wako zitakazo kusaidia kujua wakati gani ni wa kufanya ngono ili kupata ujauzito – rekodi jotoridi la mwili na majimaji ukeni ili kujua muda muafaka na Ishara hizi zitakusaidia kujua ni wakati gani yai linapevushwa ndani ya mwili wako na k**a yai lako linapevushwa kwa wakati. Nk
.imara123
☎️:0658078222
01/11/2023
Taasisi ya AFYA IMARA FOUNDATION Tunatibu kwa kutumia virutubisho lishe toka kwenye mimea asili magonjwa yote yanayoambukizwa na yasioambukiza
01/11/2023
.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na mayai kushindwa kupevushwa kwa wakati. Idadi ya mayai na ubora wa mayai unapungua, mwanamke anapofika umri kati ya miaka 30 mpaka 40. imara123
Sababu nyingine zinazofanya kupata ujauzito baada ya miaka 35 kuwa vigumu ni pamoja na:
Maambukizi au upasuaji uliosababisha kovu kwenye tishu maeneo yanayozunguka mfuko wa mimba,mirija ya falopiani au mlango wa kizazi cha mwanamke.
Ugonjwa wa “endometriosis”.Uvimbe katika mfuko wa uzazi.
Upungufu wa uteute ndani ya mlango wa kizazi.
Magonjwa ya kudumu/sugu k**a shinikizo la damu au kisukari.imara123
Kuharibika mimba pia ni tatizo kubwa kwa wanawake wenye umri zaidi ya miaka 35. Hii inasababishwa na ongezeko la mabadiliko ya jenetiki za uumbaji. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35-45 wana nafasi kati ya asilimia 20-35 ya mimba kuharibika.
Mwanamke aliye na afya kimwili,kiakili na kihisia anaweza kupata ujauzito – pombe,sigara na matumizi ya kahawa(vinywaji vyenye kafeni) zinaweza kupunguza nafasi ya wewe kupata ujauzito. Pia kuwa na uzito mdogo au mkubwa sana inaweza kuingilia ufanyaji kazi wa homoni.imara123
Angalia ishara za mwili wako zitakazo kusaidia kujua wakati gani ni wa kufanya ngono ili kupata ujauzito – rekodi jotoridi la mwili na majimaji ukeni ili kujua muda muafaka na Ishara hizi zitakusaidia kujua ni wakati gani yai linapevushwa ndani ya mwili wako na k**a yai lako linapevushwa kwa wakati. Nk
☎️:0658078222imara123
01/11/2023
.imara123 Moja ya sababu inayoleta matatizo ya kuzaa pale umri unapokua mkubwa ni kupevushwa yai mara chache kuliko kawaida. Kadiri wanawake wanapoendelea kukua mizunguko yao ya hedhi inaanza kubadilika na mayai kushindwa kupevushwa kwa wakati. Idadi ya mayai na ubora wa mayai unapungua, mwanamke anapofika umri kati ya miaka 30 mpaka 40. imara123
Sababu nyingine zinazofanya kupata ujauzito baada ya miaka 35 kuwa vigumu ni pamoja na:
Maambukizi au upasuaji uliosababisha kovu kwenye tishu maeneo yanayozunguka mfuko wa mimba,mirija ya falopiani au mlango wa kizazi cha mwanamke.
Ugonjwa wa “endometriosis”.Uvimbe katika mfuko wa uzazi.
Upungufu wa uteute ndani ya mlango wa kizazi.
Magonjwa ya kudumu/sugu k**a shinikizo la damu au kisukari.imara123
Kuharibika mimba pia ni tatizo kubwa kwa wanawake wenye umri zaidi ya miaka 35. Hii inasababishwa na ongezeko la mabadiliko ya jenetiki za uumbaji. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35-45 wana nafasi kati ya asilimia 20-35 ya mimba kuharibika.
Mwanamke aliye na afya kimwili,kiakili na kihisia anaweza kupata ujauzito – pombe,sigara na matumizi ya kahawa(vinywaji vyenye kafeni) zinaweza kupunguza nafasi ya wewe kupata ujauzito. Pia kuwa na uzito mdogo au mkubwa sana inaweza kuingilia ufanyaji kazi wa homoni.imara123
Angalia ishara za mwili wako zitakazo kusaidia kujua wakati gani ni wa kufanya ngono ili kupata ujauzito – rekodi jotoridi la mwili na majimaji ukeni ili kujua muda muafaka na Ishara hizi zitakusaidia kujua ni wakati gani yai linapevushwa ndani ya mwili wako na k**a yai lako linapevushwa kwa wakati. Nk
.imara123
☎️:0658078222imara123
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dodom
Dodoma
