AbuuZahir
AbuuZahir!
Hakika yangu si Mkamilifu kwa kila jambo na nina Madhaifu ambayo nahitajia kujifunza kutoka kwenu ila pia kwa yale ninayojifunza, Napendelea pia kushare nanyi ili tujifunze wote."MBORA WENU NI YULE MWENYE KUJIFUNZA KISHA AKAWAFUNZA NA WENGINE "
30/04/2025
📝 *HEKIMA NA BUSARA NI MUHIMU SANA KATIKA MAISHA.*
Ni silaha tulivu inayoweza kukuvusha katika mawimbi makali ya changamoto.
Mwenye hekima huchagua maneno, mwenendo, na marafiki kwa tahadhari.
Busara hukufanya uone mbali, ukatulia pale wengine wanapochanganyikiwa.
🌟 *Kuwa mvumilivu, na tafakari kabla ya kutenda.*
Maisha yanapendeza unapoyaishi kwa maono, si kwa mihemuko.
Tupande kwa Pamoja kwenye🌳✨ MTI WA HEKIMA WENYE NURU YA MAISHA📖🌟 channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vb5yNLrFHWq75vriTE1N
22/04/2025
ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATUH: MUHIMU USIPTE
ANGALIA MAJIBU YA Artificial Intelligence (AI) Kuhusu Dini Sahihi.
FURAHA YAKO NI KUWA DINI GANI?...... ✍️✍️✍️
07/02/2025
NAOMBA MNISAIDIE KULIWEKA NENO HILO LIKIWA KWA MAANDISHI YA KIARABU..BISMILLAHI RRAHMAN RRAHIM. NAHITAJI MAANDISHI YAKE YAWE KWA KIARABU.. KWA MWENYE KUWEZA
30/01/2025
ALLAH TUFIKISHE RAMADHANI
AAAMIN
AAAMIN
AAAMIN
30/01/2025
💫TUMIA NGUVU NYINGI NA UFIKIRI SANA KABLA YA KUPATA MATOKEO MABAYA..
LAKINI IKITOKEA BAADA YA KUTOKEA MATOKEO MABAYA..... AMINI YAMETOKEA KISHA FANYA LENYE KUSTAHILI KUFANYWA.✍️✍️✍️
🗒️ Na hapo sio muda tena wa kutumia Nguvu Na Kufikiri sana juu ya yaliyotokea. Itakuumiza📌🔨🔨
MOYO UMEUMBWA JUU YA KUMPENDA YULE MWENYE KUZITENDEA WEMA, NA KUMCHUKIA YULE MWENYE KUZITENDEA UOVU.
AHBIB HABIBAKA
27/01/2025
***Kuna Unapaswa kujibeba Mwenywe Pasipo kutegemea Mtu Mwingine***
Na hapo utagundua kuwa sio kila vyote tunavyotegemea wengine kwamba hatuweiz, bali muda ni mwingne ni ufinyu wa fikra, mawazo na Uzembe📌🔨
and Believe Yourself ✊✊✊
TUAMBIE UKWELI WA MANENO HAYO
19/01/2025
Allah Atupe Nusra
16/01/2025
✍️✍️✍️
15/01/2025
25 Amliyya
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Tanzania �
Dodoma
