Micky Health Checking Point

Micky Health Checking Point

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Micky Health Checking Point, Health/Beauty, Dodoma, Dodoma.

Photos from Micky Health Checking Point's post 03/05/2024

UHURU WA KIPATO & AFYA NJEMA

(Move to ...)

Friday 2 may2024
PUNGUZA UZITO NA C9

CLEAN 9.ni LIFESTYLE Program kwa ajili ya kudhibiti Uzito,Ni Program ya Siku 9 Inayojumlisha VYAKULA,VIRUTUBISHO NA MAZOEZI.

Itakusaidia Kupunguza Mwili,kitambi na uzito uliozidi KIAFYA,kwasababu inafanyakazi ya KUSAFISHA Mwili,KUTOA Sumu Mwilini,Kuondoa Mafuta yaliyozidi Mwilini na kukupa Mfumo bora wa Ulaji wa Chakula.

Program Hii ina Jumla ya Bidhaa zifuatazo

1.ALOE VERA GEL
Kazi yake ni kutoa Sumu na kusafisha Mwili na kurudisha Nutrients Muhimu kwenye Mwili

2.GARCINIA PLUS
Inafanya kazi ya Kufyonza Mafuta na kuyabadilisha kwenda kwenye nguvu(Energy)

3.FOREVER THERM
Ni bidhaa inayoongeza Joto la Mwili kwa 1*C hivyo basi husaidia kuyeyusha mafuta haraka zaidi na kuyatoa mwilini

4.FOREVER LITE
Ni bidhaa itokanayo na Soya yenye Protein muhimu za kujenga Mwili,Kuimarisha Misuli na kusaidia kazi za ubongo k**a kuona vizuri

5.FOREVER FIBER
Ina Mchanganyiko wa Aina nne(4) za Fiber hivyo husaidia Kumeng'enya chakula vizuri hivyo damu kusafiri vizuri na kusambaza virutubisho Mwilinii

K**a ungependa kupunguza Uzito uliozidi na kuendelea na FIT 1
Mawasiliano:
WhatsApp0765346152

26/04/2024

Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.

Check me on WhatsApp no0765346152

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Tatizo hili huwanyima sana watu raha na kupelekea kuwa na mawazo, migogoro katika mahusiano. Watu wenye changamoto hii mara zote wanahitaji dawa zisizo na madhara (virutubisho lishe) vilivyotokana na mimea na matunda na kubadilisha mitindo yao ya kimaisha (lifestyle changes) ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo.

Dalili Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:
Zifuatazo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume;

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa.
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanaume ni mojawapo ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume na linaweza kusababishwa na sababu nyingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa sababu za kimaumbile na sababu za kisaikolojia. Baadhi ya sababu za tatizo hili ni pamoja na;

a) Msongo Wa Mawazo (Depression).
Msongo wa mawazo ni ugonjwa wa kisaikolojia unaohusisha hali ya kuwa na mawazo makali kwa muda mrefu yanapelekea kukosa raha kutokana na kujihisi si mtu wa thamani au kukosa starehe katika vitu ulivyozoea kuvifanya na kukufurahisha hapo awali. Mawazo ya namna hii huathiri mwenendo wako wa maisha yako ikiwa ni pamoja na kukosa matamanio ya kimapenzi.

b) Matumizi Ya Madawa Na Pombe.
Matumizi ya baadhi ya madawa na unywaji wa pombe wa kupindukia vinaweza kupelekea tatizo hili la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Madawa yanayochangia tatizo hili ni pamoja na; Madawa ya presha ya kupanda (Anti hypertensive drugs), madawa ya kuondoa msongo wa mawazo, madawa yote yanayozuia ufanyaji kazi au uzalishaji wa testosterone kwa mfano cimetidine, finasteride na cyproterone n.k

c) Mawazo Mengi Na Uchovu.
Matatizo ya kikazi na hadhi yako kazini vinaweza kuchangia kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.K**a unabezwa sana kazini na kujiona hutimizi kazi yako ipasavyo au k**a unachoka sana kazini pia vinaweza kupelekea kukosa hamu ya kufanya mapenzi pindi urudipo nyumbani kwani mahusiano ya kimapenzi yanahitaji yatengewe muda wa kutosha.

d) Kuwa Na Umri Mkubwa.
Kiwango cha homoni ya testosterone inayohusika na hisia za kimapenzi kwa mwanaume hupungua kwa asilimia 1-2 kila mwaka kadri mwanaume anavyozidi kuwa na umri mkubwa. Kiwango cha testosterone kikishuka katika mwili wa mwanaume humfanya asiwe na nguvu, ashindwe kutuliza mawazo kwenye jambo alifanyalo na apoteze hamu ya kufanya mapenzi.

e) Mahusiano Yaliyopo Baina Ya Mwanaume Na Mwanamke.
Matatizo ya kimahusiano kati ya mwanaume na mwanamke yana mchango mkubwa sana katika kusababisha tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa, mfano uwepo wa migogoro kati ya mume na mke, ukosefu wa amani na furaha katika mahusiano huchangia sana mwanaume kukosa hamu ya kufanya mapenzi.

K**a mahusiano yako na mpenzi wako yamekuwa ya miaka mingi sana, unaweza kuwa umemzoea mno mkeo kiasi kwamba ukaanza kukosa hamu ya kufanya naye tendo la ndoa. Hili nalo hutokea mara nyingi.

f) Matatizo Ya Kiafya.
Matatizo ya kiafya ya muda mrefu (chronic diseases) husababisha kupungua kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa mfano tatizo la kisukari, tatizo la presha, tatizo la moyo, tatizo la kansa ya muda mrefu, na hali ya kuwa na unene uliozidi kiwango (obesity) n.k

2) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kurudia Tendo La Ndoa Zaidi Ya Mara Moja.
Mwanaume mwenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakua hana uwezo tena wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwepo na mshukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume.

3) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kusimamisha Uume Kabisa.
Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali) unaposimama, hutakiwa kuwa imara k**a msumari, lakini kwa mwanaume mwenye changamoto ya upungufu za nguvu za kiume uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na unaweza kusinyaa wakati wowote.

Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume ambayo ndio huufanya uume usimame barabara.

4) Kuwahi Kufika Kileleni.
Kuwahi kufika kileleni ni hali ambayo inampata mwanaume mwenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ambapo hutoa shahawa kabla ya kuanza tendo la ndoa au muda mfupi tu baada ya kuanza tendo la ndoa, bila yeye mwenyewe kukusudia. Kwa kawaida mtu mwenye tatizo la kuwahi kufika kileleni hutoa mbegu zake za kiume hata baada ya maandalizi kidogo sana.

5) Kuchoka Sana Baada Ya Tendo La Ndoa Na Hata Kukinai Kabisa/Hata Kusikia Kichechefu.
Hii ni moja wapo ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume. Hali hii huwapata wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ambayo wakati mwingine huambatana na usingizi mzito (Kulala fofofo).

6) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa/Baada Ya Tendo La Ndoa.
Hii pia ni moja wapo ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume, hali hii huweza kuchangiwa na kauthirika kwa tishu za uume ambazo hutokana na upigaji wa punyeto kupita kiasi.

7) Kuchelewa Sana Kufika Kileleni/Kushindwa Kufika Kileleni Kabisa.
Ni ile hali ya mwanaume kuchukua muda mrefu kutoa manii wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Kwa kawaida mwanaume anatakiwa afike kileleni/kutoa manii kwa muda usiozidi dakika 30 wakati wa kushiriki tendo la ndoa. Kwa hiyo mwanaume anaposhiriki tendo la ndoa na kuchukua muda mrefu bila kufika kileleni anahitaji uchunguzi ili kubaini chanzo cha tatizo.

Soma pia hii makala: Fahamu aina 7 za vyakula vinavyo ongeza kiwango cha mbegu za kiume.

Sababu Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:
Zifuatazo ni baadhi ya sababu za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume;

Uzito kupita kiasi na unene uliozidi.
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.
Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe.
Kuwa na mawazo na wasi wasi.
Kuwa na tatizo la kibofu cha mkojo.
Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibu magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, kisukari, presha, magonjwa ya moyo nk.
Tabia za kujichua kwa muda mrefu.
Umri hasa wazee.
Njia Za Kuongeza Wingi Wa Mbegu Za Kiume:
Zifuatazo ni baadhi ya njia za kuongeza wingi wa mbegu za kiume;

Upungufu Wa Nguvu Za Kiume
1. Kula Lishe Bora.
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo la kuwa na kiwango kidogo cha mbegu za kiume(Low s***m count). K**a utarekebisha tu aina ya chakula unachokula kunaweza kupelekea kutibu changamoto ya kuwa na kiwango kidogo cha mbegu za kiume ambapo unashauriwa kupunguza matumizi ya sukari na vyakula vya ngano, badala yake ongeza zaidi matumizi ya matunda, mboga mboga. Hii inaweza kukusaidia kutibu tatizo la kuwa na kiwango kidogo cha mbegu za kiume kwa haraka sana.

Aina za matunda
2. Epuka Matumizi Yaliyokithiri Ya Vyakula/Vinywaji Vyenye Kafeini Kwa Wingi.
K**a unasumbuliwa na tatizo la kuwa na kiwango kidogo cha mbegu za kiume ni vyema ukaepuka matumizi yaliyokithiri ya vyakula au vinywaji vyote vyenye kafeini kwa wingi. Mfano wa vyakula/vinywaji vyenye kafeini kwa wingi ni pamoja na chai ya kahawa, soda nyeusi zote, malta, redbull, chokoleti n.k

chai ya kahawa
3. Tumia Kitunguu Swaumu Kwa Wingi.
Kitunguu swaumu kina ‘Selenium’ na pia kinasaidia kuondoa sumu mwilini, mambo haya mawili muhimu yanasaidia kuongeza spidi ya mbegu za kiume. Pia kitunguu swaumu kina ‘Allicin’ ambayo husaidia kuongeza msukumo wa damu kwenda kwenye uume. Hivyo unashauriwa kuongeza matumizi ya kitunguu swaumu kwenye chakula unachopika. Vile vile unaweza kutafuna punje 2 mpaka 3 za kitunguu swaumu kila unapoenda kulala au unaweza kukatakata (chop) hizo punje 2 au 3 vipande vidogo vidogo kisha unywe na maji.

kitunguu swaumu
4. Ulaji Wa Ndizi.
Ndizi ni chakula kizuri kwa ajili ya afya ya uume wako. Ndizi zina kimeng’enya kimoja kiitwacho ‘Bromelain’ ambacho husaidia kuziweka sawa homoni zinazohusiana na tendo la ndoa (testosterone). Pia ndizi zina Magnesium, vitamini B1 na vitamini C, vitu ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya kutengeneza mbegu za kiume.

ndizi
5. Ulaji Wa Mbegu Za Maboga.
Mbegu za maboga zina kiasi kingi cha madini ya zinki ambayo ni muhimu katika kutengenezwa kwa mbegu za kiume na homoni ya testosteroni. Pia mbegu za maboga zina vitamini B, C, D, E, na K ambazo zote ni muhimu katika kuongeza idadi ya mbegu za kiume. Vile vile mbegu za maboga zina madini ya kalsiamu, Potasiamu, Phosphorasi na Niacin.

mbegu za maboga
6. Ulaji Wa Mboga Za Majani Kwa Wingi.
Mboga za majani zinapunguza homoni ya ‘estrogen’ na hivyo kufanya homoni ya ‘testosterone’ ipatikane kwa wingi na hivyo kupelekea kuongezeka kwa mbegu za kiume.

spinachi
7. Ulaji Wa Vyakula Vyenye Foliki Asidi Kwa Wingi.
Vyakula vyenye foliki asidi kwa wingi ni pamoja na karoti, Parachichi, Ufuta, maharage, papai, bamia. Hivvyo isipite siku bila kula parachichi walau moja na kutafuna karoti walau moja ikiwa unachangamoto ya kuwa na kiwango kidogo cha mbegu za kiume. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume walioongeza ulaji wa vyakula vyenye foliki asidi na zinki waliongeza uwingi wa mbegu zao za kiume kwa zaidi ya asilimia 74 kwa muda wa wiki 2 tu.

Matunda mbali mbali yanayo ongeza folic acid
8. Kunywa Maji Mengi Kila Siku.
Hili ni suluhisho rahisi lisilohitaji gharama yoyote kwa wale wanaosumbuliwa na changamoto ya kuwa na kiwango kidogo cha mbegu za kiume. Kutokunywa maji ya kutosha kila siku kuna uhusiano wa moja kwa moja na kupungua kwa uwingi wa mbegu za kiume. Hivyo k**a utatekeleza njia zote zilizotajwa hapo juu halafu ukasahau kunywa maji hesabu umekosea sana. Kutegemeana na uzito wako unaweza kunywa maji walau lita 2 mpaka lita 3 kwa siku, hii itakusaidia kwani mbegu za kiume zimetengenezwa kwa maji, na pia zipo kwenye hali ya kimiminika.

Maji ya kunywa
9. Parachichi.
Parachichi lina uwezo mkubwa wa kuzalisha vitamin E ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni za kiume. Tafiti zinaonesha kuwa watu wanaotumia tunda hili kwa wingi huwa na msisimko mkubwa wa kimapenzi.

parachichi
10. Tikiti Maji.
Matunda haya pia yana uwezo mkubwa wa kuongeza nguvu za kiume. Tikiti lnapaswa kuliwa pamoja na mbegu zake, angalau vipande viwili au vitatu kwa siku.

tikiti maji
11. Komamanga.
Haya ni aina ya matunda ambayo ndani yake yana mbegu nyekundu. Koma manga lina tajwa kuwa na virutubisho muhimu vya kusisimua misuli ya uume na kuamsha hisia za kushiriki tendo la ndoa.

koma manga
12. Pweza Na Chaza.
Aina hizi za viumbe wa baharini, huwa na madini ya zinki na chumvi ambayo ambayo yanatajwa kusaidia uzalishaji wa vichocheo vinavyosababisha msisimko wa mwili wakati wa tendo la ndoa. Unashauriwa kujenga utaratibu wa kunywa supu ya pweza mara kwa mara na matokeo yake utayaona.

supu ya pweza
13. Pilipili.
Pilipili zina uwezo mkubwa wa kumaliza changamoto ya upungufu wa mguvu za kiume. Unaweza kuchangaya pilipili kwenye chakula au ukala hivyo hivyo kwa kutafuna kiasi kidoogo mara kwa mara. Pilipili zina virutubisho ambavyo husaidia kuongeza msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume na kuamsha hisia za mapenzi.

pilipili
14. Kunazi (Blueberries).
Haya ni matunda madogo madogo jamii ya zabibu ambayo huliwa na binadamu. Matunda haya yameelezwa kuwa na nguvu k**a ilivyo dawa ya Vi**ra. Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa matunda haya yana vichocheo ambavyo hulainisha mishipa ya damu na kufanya damu isambae kwa kasi kuelekea kwenye viungo vya kiume.

blue berries
15. Ufanyaji Wa Mazoezi Mara Kwa Mara.
Mazoezi ya nusu saa mara tatu kwa wiki kwa wanaume yana uwezo wa kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mbegu za kiume kwa mujibu wa wanasayansi ambapo wanaume ambao wameendelea na zoezi la kukimbia kila wakati, mbegu zao za kiume huwa na afya njema kulinganan na watafiti wa jarida la maswala ya uzazi. Watafiti wanasema ni muhimu kufanya mazoezi hayo kwa kiwango cha wastani, kwa sababu mazoezi ya kupita kiasi hudhuru kiwango cha uzalishaji wa mbegu hizo za kiume.

Mazoezi ya kukimbia
HITIMISHO:

Ikiwa unasumbuliwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume unashauriwa kufanya mazoezi angalau dakika 30 kwa siku, kula vyakula asilia na usipendelee kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi, tibu magonjwa yanayokuweka hatarini k**a kisukari, magonjwa ya moyo, punguza unene uliozidi, lala vizuri kwa muda mzuri masaa 7 hadi 9, epuka uvutaji wa sigara na matumizi ya pombe yaliyothiri, kunywa maji ya kutosha n.k

Pia k**a utahitaji virutubisho lishe vilivyotokana na mimea na matunda kwa ajili ya kutatua changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume bonyeza hapa: “Hii ndiyo Siri Wanayoitumia Wanaume Wengi Kuongeza Nguvu Za Kiume.”

23/04/2024

HUSAIDIA KUIMARISHA AFYA YA KINYWA KWA UJUMLA, MENO, FIZI NA KUZUIA AU KUONDOA HARUFU MBAYA MDOMONI, KWA KUTUMIA 👇👇👇👇

FOREVER BRIGHT TOOTH GEL

Ni dawa ya kinywa yenye mchanganyiko wa Aloe vera na asali hivyo haijaongezewa madini ya Fluoride.

FAIDA YA KUTUMIA FOREVER BRIGHT TOOTH GEL.

1. Husaidia kung'alisha na kuimarisha meno, fizi, kuua bacteria wanaoathiri meno na kuzuia au huondoa harufu mbaya mdomoni.

2. Huzuia maumivu ya meno, fizi kutoa damu na vidonda mdomoni.

3. Hutumika k**a huduma ya kwanza endapo Tumbo litajaa gesi, maumivu ya vidonda vya tumbo, kiungulia, kichefu chefu, tonsesi, mafua mepesi n.k unatumia kwa kuilamba kidogo.

4. Nje ya Mwili inapakwa kwenye Mapunye, Majeraha au Makovu ya Moto, Fangasi za Miguuni, Vidonda vya kujikata au kung'atwa na mdudu.

Ni dawa ya kinywa ina faida nyingi kiafya kuanzia Watoto wadogo hadi Watu Wazima hata ukimeza haina madhara Kiafya.


https:/0765346152

18/04/2024

UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Vijana wengi wanajiinga kwenye kujichua bila kujua madhara yake ya badaee, ukipiga punyeto kwa kipindi kirefu unaweza kupata madhara makubwa k**a.
1.kusinyaa kwa uume.
2.kulegea kwa mishipa ya uume .
3.kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
4.maumivu makali wakati wa tendo.
5.kutokwa na manii nyepesi
6.kuwai kumaliza mapema
7.kushindwa kudumu kwenye tendo.
8.kushindwa kurudia mara kwa mara.
9.maumivu makali wakati wa kukojoa
10.maumivu makali wakati wa kushiliki tendo.

hizo dalili za upigaji punyeto.

tunakushauli acha kujichua na unatakiwa upate suluisho la tatizo lako kwa kupata vyakula vya asili ambavyo vitakuwezesha kuludisha heshima ya maumbile yako na kulinda ndoa yako. Tume ujumbe mfupi ukianza NGUVU ZA KIUME kwa njia ya sms kwenda 0765346152 ili kupata taratibu za matibabu ukiwa popote ulipo,
https://wa.me/0765346152 , au gusa neno whatssap lililopo chini ya picha upande wa kulia utakuja moja kwa moja kwenye whatssap yangu

17/04/2024

JamiiForums
Matangazo madogo
Forever multi maca
Thread starterKaie Start dateOct 10, 2016
Kaie
Member
Oct 10, 2016
#1
MULTI MACA KWENYE KUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME.

Ukisoma historia ya dunia, miaka 2000 iliyopita huko nchi ya peru ya marekani ya kusini, wanawake na wanaume walikua wakitumia mzizi huu kwa matibabu mbalimbali ya kibinadamu k**a kuishiwa nguvu za kiume na kuwezesha wanawake kuzaa mpaka miaka zaidi ya arobaini bila shida. Lakini pia kuwasaidia walioshindwa kuzaa sababu ya shida ya uzazi.

Baada ya miaka mingi wataalamu wakaifanyia utafiti tena na kugundua mmea huu unafanya kazi kweli ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote na kutibu tatizo la ugumba liletwalo na matatizo mbalimbali, na njia pekee kuufikisha dunia nzima ni kuweka kwa mfumo wa kopo na tembe ili isiweze kuharibika... leo hii virutubisho hivi muhimu viko tele nchini kwetu na kwa bei rahisi tu.

Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo... ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika, nilipoona virutubisho hivi nikasoma mchanganyiko wake kwa makini sana na niliwasifu sana waliotuletea afrika kwani asilimia kubwa ya virutubisho hivyo hata huku afrika
kabisa na hakuna kemikali hata moja kwenye mchanganyiko wake.

Kukamilisha utafiti wangu nilimpa rafiki yangu mmoja wa kiume akajaribu na akaipenda sana na akanipigia simu kwamba anataka nyingine ahifadhi kwani imemfanyia maajabu, lakini pia kuna dada yangu alikua na shida ya uzazi akiwa na umri wa miaka 35 bila mtoto alikua amekata tamaa kabisa baada ya kupima kila kitu na kuambiwa yuko sawa hospitalini, yeye na mume wake walipotumia virutubisho hivyo hawakumaliza wiki sita tayari mke alikua mjamzito.
virutubisho hivi vinafanya kazi vipi?

Umri unavyozidi kwenda na mawazo yanapokua mengi, mwili unapunguza kasi ya kutengeneza homoni za binadamu na hii huleta uchovu, kunenepa, usingizi sana au kukosa usingizi, kuchoka, hisia za joto na baridi ndani ya muda mfupi kitaalamu k**a hot flushes hivyo virutubisho hivi vikitumika hutoa taarifa kwenye ubongo kwamba utengenezaji wa homoni hizi uanze upya vizuri.

Mchanganyiko wa virutubisho vilivyomo ndani ya virutubisho hivyo. mzizi wa maca; mzizi huu huleta nguvu za mwili, huondoa uchovu, huondoa mgandamizo wa mawazo na hurutubisha uwezo wa uzazi kwa wote mwanamke na mwanaume.

Tunda la tribulus terestris; tunda hili huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa jinsia zote kwa kushtua homoni za adrogens kwenye ubongo.

Mzizi wa muira puama ; hupunguza kiasi cha lehemu mwilini yaani cholestrol. wataalamu hivi karibuni wamegundua inazuia kansa ya ngozi na kansa ya tezi dume.

Magamba ya miti ya cuaba ; magamba haya hufanya kazi ya kusaidia sana mfumo wa fahamu.
l -arginine; hii ni aina ya protini inayoleta misuli yenye nguvu na mifupa migumu, pia huleta nguvu za mwili, stamina na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

Tunda la saw palmetto; ni nzuri kwa ovari za mwanamke na tezi dume, lakini pia huzuia kipara cha uzeeni kwa wanawake na wanaume.

Pygeum africana; hili ni gamba la mti linalotibu tezi dume iliyovimba.

coenzyme q 10; hii ni enzyme ambayo inatengeneza sana nguvu za mwili, imehusishwa na kusaidia kuishi maisha marefu, kushusha presha, ugonjwa wa moyo, kutibu maumivu ya kichwa na matibabu ya kansa.

soya; hii huweka sawa homoni za kiume na kuzuia dalili za uzee.

Matumizi ya Bidhaa hii kwa wanawake;
Bidhaa (kirutubisho) hii hutuliza sana tatizo la mvurugano wa homoni kwa wanawake ambao mara nyingi huleta maumivu ya tumbo, chunusi, hali ya joto kali na baridi kali wakati mmoja, hasira za mara kwa mara na mgandamizo wa mawazo hivyo kirutubisho hiki huamrisha mwili kutoa kiwango sahihi cha homoni.

Kwa wanandoa au wachumba wanaotafuta mtoto virutubisho hivi hufanya kazi vizuri wakiitumia wote na sio kwamba inaongeza nguvu za kiume na mbegu tu ila inapambana na matatizo ya uzazi yanayoweza kuzuia mimba k**a uvimbe wa ovari na kadhaliaka.

Jinsi ya kutumia;
Kopo moja lina tembe sitini za rangi ya chocolate hivyo humezwa mbili kila siku k**a chakula na maji mengi na matokeo yake huonekana ndani ya muda mfupi sana.

Upatikanaji:
Kuna baadhi ya mikoa sio rahisi kuvipata kabisa virutubisho hivyo lakini kwa Dar es Salaam vipo na ukihitaji unaweza kwa na kwa Mikoani ukatumiwa.

Mwisho;
Duniani sasa hivi imejazwa na dawa nyingi kali na zenye sumu ambazo k**a madhara yake yangetajwa hadharani wagonjwa wetu wangekataa kumeza dawa.

Ni vizuri kutumia dawa za hospitali k**a unaumwa kweli na unapoandikiwa na daktari tu, lakini pia ni vizuri kutumia sana virutubisho vya asili ili kujikinga na magonjwa mengine.

Nipigie/ Ni - WhatsApp/ Ni - Sms: +255 719 700 745

Atwoki
JF-Expert Member
Oct 10, 2016
#2
mkuu unatoa bure nn mbona hujaweka bei
akidai
JF-Expert Member
Oct 10, 2016
#3
Bei gani
You must log in or register to reply here.
Similar Discussions
jiwe angavu
Ewe binti k**a una mpango wa kuzaa usije jaribu kutumia P2, wala njia za uzazi wa mpango
Started by jiwe angavu Feb 4, 2024 Replies: 46
Jamii Health (Jukwaa la Afya)
kipara kipya
Mchele wa msaada haukuja kwa bahati mbaya, ni baada ya Benki ya Dunia kuitahadharisha Tanzania kupunguza kuzaliana, CCM mnapunguziwa wapiga kura
Started by kipara kipya Mar 17, 2024 Replies: 32
Jukwaa la Siasa
Yoda
Ugomvi na ushoga usiwe kigezo cha watoto kukosa mchele wenye virutubisho, tutaonekana majuha
Started by Yoda Mar 17, 2024 Replies: 131
Jukwaa la Siasa
maroon7
Uvumi unaendelea kuhusu unga kutiwa vitu vya kupunguza nguvu za kiume na kuchochea ushoga
Started by maroon7 Apr 4, 2024 Replies: 32
Habari na Hoja mchanganyiko
trudie
Unga mtamu wa uji wa LISHE
Started by trudie Jul 30, 2023 Replies: 21
Matangazo madogo
Share:
Facebook
Twitter
Reddit
WhatsApp
Email
Matangazo madogo
Jamii Forums New
Contact usTermsPrivacy PolicyHelpCookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site.
Accept

Learn more…JamiiForums
Matangazo madogo
Forever multi maca
Thread starterKaie Start dateOct 10, 2016
Kaie
Member
Oct 10, 2016
#1
MULTI MACA KWENYE KUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME.

Ukisoma historia ya dunia, miaka 2000 iliyopita huko nchi ya peru ya marekani ya kusini, wanawake na wanaume walikua wakitumia mzizi huu kwa matibabu mbalimbali ya kibinadamu k**a kuishiwa nguvu za kiume na kuwezesha wanawake kuzaa mpaka miaka zaidi ya arobaini bila shida. Lakini pia kuwasaidia walioshindwa kuzaa sababu ya shida ya uzazi.

Baada ya miaka mingi wataalamu wakaifanyia utafiti tena na kugundua mmea huu unafanya kazi kweli ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote na kutibu tatizo la ugumba liletwalo na matatizo mbalimbali, na njia pekee kuufikisha dunia nzima ni kuweka kwa mfumo wa kopo na tembe ili isiweze kuharibika... leo hii virutubisho hivi muhimu viko tele nchini kwetu na kwa bei rahisi tu.

Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo... ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika, nilipoona virutubisho hivi nikasoma mchanganyiko wake kwa makini sana na niliwasifu sana waliotuletea afrika kwani asilimia kubwa ya virutubisho hivyo hata huku afrika
kabisa na hakuna kemikali hata moja kwenye mchanganyiko wake.

Kukamilisha utafiti wangu nilimpa rafiki yangu mmoja wa kiume akajaribu na akaipenda sana na akanipigia simu kwamba anataka nyingine ahifadhi kwani imemfanyia maajabu, lakini pia kuna dada yangu alikua na shida ya uzazi akiwa na umri wa miaka 35 bila mtoto alikua amekata tamaa kabisa baada ya kupima kila kitu na kuambiwa yuko sawa hospitalini, yeye na mume wake walipotumia virutubisho hivyo hawakumaliza wiki sita tayari mke alikua mjamzito.
virutubisho hivi vinafanya kazi vipi?

Umri unavyozidi kwenda na mawazo yanapokua mengi, mwili unapunguza kasi ya kutengeneza homoni za binadamu na hii huleta uchovu, kunenepa, usingizi sana au kukosa usingizi, kuchoka, hisia za joto na baridi ndani ya muda mfupi kitaalamu k**a hot flushes hivyo virutubisho hivi vikitumika hutoa taarifa kwenye ubongo kwamba utengenezaji wa homoni hizi uanze upya vizuri.

Mchanganyiko wa virutubisho vilivyomo ndani ya virutubisho hivyo. mzizi wa maca; mzizi huu huleta nguvu za mwili, huondoa uchovu, huondoa mgandamizo wa mawazo na hurutubisha uwezo wa uzazi kwa wote mwanamke na mwanaume.

Tunda la tribulus terestris; tunda hili huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa jinsia zote kwa kushtua homoni za adrogens kwenye ubongo.

Mzizi wa muira puama ; hupunguza kiasi cha lehemu mwilini yaani cholestrol. wataalamu hivi karibuni wamegundua inazuia kansa ya ngozi na kansa ya tezi dume.

Magamba ya miti ya cuaba ; magamba haya hufanya kazi ya kusaidia sana mfumo wa fahamu.
l -arginine; hii ni aina ya protini inayoleta misuli yenye nguvu na mifupa migumu, pia huleta nguvu za mwili, stamina na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

Tunda la saw palmetto; ni nzuri kwa ovari za mwanamke na tezi dume, lakini pia huzuia kipara cha uzeeni kwa wanawake na wanaume.

Pygeum africana; hili ni gamba la mti linalotibu tezi dume iliyovimba.

coenzyme q 10; hii ni enzyme ambayo inatengeneza sana nguvu za mwili, imehusishwa na kusaidia kuishi maisha marefu, kushusha presha, ugonjwa wa moyo, kutibu maumivu ya kichwa na matibabu ya kansa.

soya; hii huweka sawa homoni za kiume na kuzuia dalili za uzee.

Matumizi ya Bidhaa hii kwa wanawake;
Bidhaa (kirutubisho) hii hutuliza sana tatizo la mvurugano wa homoni kwa wanawake ambao mara nyingi huleta maumivu ya tumbo, chunusi, hali ya joto kali na baridi kali wakati mmoja, hasira za mara kwa mara na mgandamizo wa mawazo hivyo kirutubisho hiki huamrisha mwili kutoa kiwango sahihi cha homoni.

Kwa wanandoa au wachumba wanaotafuta mtoto virutubisho hivi hufanya kazi vizuri wakiitumia wote na sio kwamba inaongeza nguvu za kiume na mbegu tu ila inapambana na matatizo ya uzazi yanayoweza kuzuia mimba k**a uvimbe wa ovari na kadhaliaka.

Jinsi ya kutumia;
Kopo moja lina tembe sitini za rangi ya chocolate hivyo humezwa mbili kila siku k**a chakula na maji mengi na matokeo yake huonekana ndani ya muda mfupi sana.

Upatikanaji:
Kuna baadhi ya mikoa sio rahisi kuvipata kabisa virutubisho hivyo lakini kwa Dar es Salaam vipo na ukihitaji unaweza kwa na kwa Mikoani ukatumiwa.

Mwisho;
Duniani sasa hivi imejazwa na dawa nyingi kali na zenye sumu ambazo k**a madhara yake yangetajwa hadharani wagonjwa wetu wangekataa kumNi vizuri kutumia dawa za hospitali k**a unaumwa kweli na unapoandikiwa na daktari tu, lakini pia ni vizuri kutumia sana virutubisho vya asili ili kujikinga na magonjwa mengine.

pigie/ Ni - WhatsApp/0765346152

17/04/2024

JamiiForums
Matangazo madogo
Forever multi maca
Thread starterKaie Start dateOct 10, 2016
Kaie
Member
Oct 10, 2016
#1
MULTI MACA KWENYE KUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME.

Ukisoma historia ya dunia, miaka 2000 iliyopita huko nchi ya peru ya marekani ya kusini, wanawake na wanaume walikua wakitumia mzizi huu kwa matibabu mbalimbali ya kibinadamu k**a kuishiwa nguvu za kiume na kuwezesha wanawake kuzaa mpaka miaka zaidi ya arobaini bila shida. Lakini pia kuwasaidia walioshindwa kuzaa sababu ya shida ya uzazi.

Baada ya miaka mingi wataalamu wakaifanyia utafiti tena na kugundua mmea huu unafanya kazi kweli ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote na kutibu tatizo la ugumba liletwalo na matatizo mbalimbali, na njia pekee kuufikisha dunia nzima ni kuweka kwa mfumo wa kopo na tembe ili isiweze kuharibika... leo hii virutubisho hivi muhimu viko tele nchini kwetu na kwa bei rahisi tu.

Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo... ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika, nilipoona virutubisho hivi nikasoma mchanganyiko wake kwa makini sana na niliwasifu sana waliotuletea afrika kwani asilimia kubwa ya virutubisho hivyo hata huku afrika
kabisa na hakuna kemikali hata moja kwenye mchanganyiko wake.

Kukamilisha utafiti wangu nilimpa rafiki yangu mmoja wa kiume akajaribu na akaipenda sana na akanipigia simu kwamba anataka nyingine ahifadhi kwani imemfanyia maajabu, lakini pia kuna dada yangu alikua na shida ya uzazi akiwa na umri wa miaka 35 bila mtoto alikua amekata tamaa kabisa baada ya kupima kila kitu na kuambiwa yuko sawa hospitalini, yeye na mume wake walipotumia virutubisho hivyo hawakumaliza wiki sita tayari mke alikua mjamzito.
virutubisho hivi vinafanya kazi vipi?

Umri unavyozidi kwenda na mawazo yanapokua mengi, mwili unapunguza kasi ya kutengeneza homoni za binadamu na hii huleta uchovu, kunenepa, usingizi sana au kukosa usingizi, kuchoka, hisia za joto na baridi ndani ya muda mfupi kitaalamu k**a hot flushes hivyo virutubisho hivi vikitumika hutoa taarifa kwenye ubongo kwamba utengenezaji wa homoni hizi uanze upya vizuri.

Mchanganyiko wa virutubisho vilivyomo ndani ya virutubisho hivyo. mzizi wa maca; mzizi huu huleta nguvu za mwili, huondoa uchovu, huondoa mgandamizo wa mawazo na hurutubisha uwezo wa uzazi kwa wote mwanamke na mwanaume.

Tunda la tribulus terestris; tunda hili huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa jinsia zote kwa kushtua homoni za adrogens kwenye ubongo.

Mzizi wa muira puama ; hupunguza kiasi cha lehemu mwilini yaani cholestrol. wataalamu hivi karibuni wamegundua inazuia kansa ya ngozi na kansa ya tezi dume.

Magamba ya miti ya cuaba ; magamba haya hufanya kazi ya kusaidia sana mfumo wa fahamu.
l -arginine; hii ni aina ya protini inayoleta misuli yenye nguvu na mifupa migumu, pia huleta nguvu za mwili, stamina na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

Tunda la saw palmetto; ni nzuri kwa ovari za mwanamke na tezi dume, lakini pia huzuia kipara cha uzeeni kwa wanawake na wanaume.

Pygeum africana; hili ni gamba la mti linalotibu tezi dume iliyovimba.

coenzyme q 10; hii ni enzyme ambayo inatengeneza sana nguvu za mwili, imehusishwa na kusaidia kuishi maisha marefu, kushusha presha, ugonjwa wa moyo, kutibu maumivu ya kichwa na matibabu ya kansa.

soya; hii huweka sawa homoni za kiume na kuzuia dalili za uzee.

Matumizi ya Bidhaa hii kwa wanawake;
Bidhaa (kirutubisho) hii hutuliza sana tatizo la mvurugano wa homoni kwa wanawake ambao mara nyingi huleta maumivu ya tumbo, chunusi, hali ya joto kali na baridi kali wakati mmoja, hasira za mara kwa mara na mgandamizo wa mawazo hivyo kirutubisho hiki huamrisha mwili kutoa kiwango sahihi cha homoni.

Kwa wanandoa au wachumba wanaotafuta mtoto virutubisho hivi hufanya kazi vizuri wakiitumia wote na sio kwamba inaongeza nguvu za kiume na mbegu tu ila inapambana na matatizo ya uzazi yanayoweza kuzuia mimba k**a uvimbe wa ovari na kadhaliaka.

Jinsi ya kutumia;
Kopo moja lina tembe sitini za rangi ya chocolate hivyo humezwa mbili kila siku k**a chakula na maji mengi na matokeo yake huonekana ndani ya muda mfupi sana.

Upatikanaji:
Kuna baadhi ya mikoa sio rahisi kuvipata kabisa virutubisho hivyo lakini kwa Dar es Salaam vipo na ukihitaji unaweza kwa na kwa Mikoani ukatumiwa.

Mwisho;
Duniani sasa hivi imejazwa na dawa nyingi kali na zenye sumu ambazo k**a madhara yake yangetajwa hadharani wagonjwa wetu wangekataa kumeza dawa.

Ni vizuri kutumia dawa za hospitali k**a unaumwa kweli na unapoandikiwa na daktari tu, lakini pia ni vizuri kutumia sana virutubisho

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Address


Dodoma
Dodoma