flora_nitetee2
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from flora_nitetee2, Health/Beauty, Uhuru Street, Mwanza.
Mmenikumbusha mbali sana π Clouds FMπΉπΏ Clouds TV πΉπΏ kesho kwa tunza Tupo pamoja sana Najivunia Tuzo yangu ya
HUYU MALAIKA ALIKAA DARASANI MIEZI 3 TUU LAKINI AMEFAULU VIZURI MNO NAOMBA TUUNGANE AFIKIE NDOTO ZAKEππ
K**a ndio mara yako ya kwanza kumuona huyu kijana naomba niandike hapa kwa kifupiππ
Ana miaka 20 amemaliza kidato cha 6 alifanya vizuri sana lakini leo anateseka na hili balaa la saratani, halali anavumilia hivi mchana kutwa usiku kucha,,, kuna wakati anakataa hata kula anatamani mguu ukatwe hata kesho angalau apunguze maumivu japo Dr alimwambia imezambaa sana hadi kwenye mapafu na ipo stage ya mwisho (4) Tunaamini Mungu yupo hawezi kumuacha Dr anafika mwisho lakini Mungu bado ni zaidi!!! Stori ya huyu boy ni ndefu sana na dada yake pia anatatizo k**a la kaka yake na kwa sasa yupo moshi,,,, leo wameniomba kuongea na shabiki wenzao, wachezaji, na uongozi wa timu nzima ya Simba Sports Club TAG YAKO KWA SHABIKI AU MCHEZAJI WA SIMBA NI MCHANGO MKUBWA KWAKE Zaidi anaomba kila mtu amchangie sio lazima awe mwana simba 0759665555 ni Vodacom jina Flora Lauwo tumemtoa mbali mno wazazi tupunguze imani za kulogwa huyu boy ametembezwa kwa waganga mno na imechelewesha matibabu yake
Ddf Herbal Clinic Ddf Herbal Clinic Nifobeautycollege_Mwanza Nifobeautycollege_Mwanza NIFO PRODUCTS/NIFOCOLLEGE πͺβ€οΈ Filo's Apartment Mwanza
Huyu Yanga kindaki ndaki Saratani stage 3 naomba msiniachie sitaweza bila nyie,,, k**a wewe ni Yanga dondosha chochote 0654777778 Huyu mtoto tulimtoa kwa mganga baada ya kukosa hela ya matibabu aliona pona yake iko kwa nganga,,,
Mama yupo tena anajua mwanae anaumwa sana na yupo tuu hapa jirani kisiwa cha ukerewe, cha ajabu hajawahi kumuona hata mara moje, ikitokea harusi anaenda lakini kuja kumuona huyu mtoto hana nafasi JAMANI BAADHI YA WAZAZI TUNAKOSEA SANAπππππ
Sio lazima uwe mwana yanga naomba mchangie chochote 0654777778 ni tigo jina Florah lauo π₯Ή
Malaika wangu Nakushukuru Munguππ
Ninawaomba tuendelee kumchangia Baraka Dawa anazotumia zina gharama kubwa Peke yangu siwezi Naomba tuungane Baraka Atapona na Ameanza kupona,,,
Tuma mchango Wako kwa namba:
Vodacom 0759 665 555 Florah Lauwo
Tigo 0654 777 778 Florah Lauwo
Huyu boy alikuwa halali yani alikuwa anakaa macho usiku na mchana, leo analala, damu imeongezeka, anaonekana mwenye Nuru k**a mimi na wewe hata ule weupe kwenye macho haupo tena,,, TUSIMKATIE TAMAA KIJANA HUYU
Napenda sana kununua Ardhi, yani k**a una ka hela kako shugaa nunua ardhi itakubeba mnooo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Uhuru Street
Mwanza
