flora_nitetee2

flora_nitetee2

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from flora_nitetee2, Health/Beauty, Uhuru Street, Mwanza.

24/07/2026

Mmenikumbusha mbali sana 😭 Clouds FMπŸ‡ΉπŸ‡Ώ Clouds TV πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kesho kwa tunza Tupo pamoja sana Najivunia Tuzo yangu ya

24/07/2026
23/07/2026

HUYU MALAIKA ALIKAA DARASANI MIEZI 3 TUU LAKINI AMEFAULU VIZURI MNO NAOMBA TUUNGANE AFIKIE NDOTO ZAKEπŸ™πŸ™

K**a ndio mara yako ya kwanza kumuona huyu kijana naomba niandike hapa kwa kifupiπŸ™πŸ™
Ana miaka 20 amemaliza kidato cha 6 alifanya vizuri sana lakini leo anateseka na hili balaa la saratani, halali anavumilia hivi mchana kutwa usiku kucha,,, kuna wakati anakataa hata kula anatamani mguu ukatwe hata kesho angalau apunguze maumivu japo Dr alimwambia imezambaa sana hadi kwenye mapafu na ipo stage ya mwisho (4) Tunaamini Mungu yupo hawezi kumuacha Dr anafika mwisho lakini Mungu bado ni zaidi!!! Stori ya huyu boy ni ndefu sana na dada yake pia anatatizo k**a la kaka yake na kwa sasa yupo moshi,,,, leo wameniomba kuongea na shabiki wenzao, wachezaji, na uongozi wa timu nzima ya Simba Sports Club TAG YAKO KWA SHABIKI AU MCHEZAJI WA SIMBA NI MCHANGO MKUBWA KWAKE Zaidi anaomba kila mtu amchangie sio lazima awe mwana simba 0759665555 ni Vodacom jina Flora Lauwo tumemtoa mbali mno wazazi tupunguze imani za kulogwa huyu boy ametembezwa kwa waganga mno na imechelewesha matibabu yake
Ddf Herbal Clinic Ddf Herbal Clinic Nifobeautycollege_Mwanza Nifobeautycollege_Mwanza NIFO PRODUCTS/NIFOCOLLEGE πŸ’ͺ❀️ Filo's Apartment Mwanza

23/07/2026

Huyu Yanga kindaki ndaki Saratani stage 3 naomba msiniachie sitaweza bila nyie,,, k**a wewe ni Yanga dondosha chochote 0654777778 Huyu mtoto tulimtoa kwa mganga baada ya kukosa hela ya matibabu aliona pona yake iko kwa nganga,,,
Mama yupo tena anajua mwanae anaumwa sana na yupo tuu hapa jirani kisiwa cha ukerewe, cha ajabu hajawahi kumuona hata mara moje, ikitokea harusi anaenda lakini kuja kumuona huyu mtoto hana nafasi JAMANI BAADHI YA WAZAZI TUNAKOSEA SANAπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Sio lazima uwe mwana yanga naomba mchangie chochote 0654777778 ni tigo jina Florah lauo πŸ₯Ή

23/07/2026

Malaika wangu Nakushukuru MunguπŸ™πŸ™

21/07/2026

Ninawaomba tuendelee kumchangia Baraka Dawa anazotumia zina gharama kubwa Peke yangu siwezi Naomba tuungane Baraka Atapona na Ameanza kupona,,,
Tuma mchango Wako kwa namba:

Vodacom 0759 665 555 Florah Lauwo
Tigo 0654 777 778 Florah Lauwo

Huyu boy alikuwa halali yani alikuwa anakaa macho usiku na mchana, leo analala, damu imeongezeka, anaonekana mwenye Nuru k**a mimi na wewe hata ule weupe kwenye macho haupo tena,,, TUSIMKATIE TAMAA KIJANA HUYU

20/07/2026

Napenda sana kununua Ardhi, yani k**a una ka hela kako shugaa nunua ardhi itakubeba mnooo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Uhuru Street
Mwanza