Seiph wa KO

Seiph wa KO

Share

Katibu Uvccm Majengo - Korogwe
Founder - CARE FOR THE FUTURE
AKILI PLATFORM TANZANIA - TANGA

04/06/2026

Andiko lisilo bora🤔

Utaratibu ni ule ule baada ya miaka kadhaa tuwe tumefanikiwa👊🏿

Na k**a hatutakuwepo hapa Duniani basi tuwe kwenye bustani za peponi🫶🏿

Mafanikio yasiyokuwa na msingi wa uaminifu ni k**a nyumba ya makuti, Upepo kidogo inaanguka👣

Mafanikio ya kweli hayana njia ya mkato ni hustle, muda na uaminifu. Ukiruka utaratibu basi utaratibu utakurudisha nyuma🚮

Unaweza kupanga miaka kadhaa ijayo lakini pumzi yako ina tarehe ya mwisho, itakuwaje k**a ni kesho😶

Fanya kazi k**a utaishi miaka 100, lakini jipange k**a utakufa kesho: K**a hatutafanikiwa hapa, angalau tuwe watu wema💫

Pesa inaisha, Majina husahaulika lakini matendo mema yanakwenda nawe: Pambana kwa bidii lakini usiuze roho yako💪🏿

Kwa sababu mwisho wa siku, si magari wala nyumba watu watakayokumbuka. Ni "Yule alikuwa mtu wa kipimo kamili" au "Yule alikuwa mwizi wa mizani"🙏🏿

Ni Mimi Vs Mimi👊🏿

10/05/2026

Kila tone ya chanjo dhidi ya polio ni muhimu

Wazazi tuhakikishe watoto wanapata chanjo

Photos from UNICEF TANZANIA's post 09/05/2026

Chanjo dhidi ya ugonjwa wa kupooza ni muhimu kwa afya ya mtoto.

Tushirikiane

Photos from UNICEF TANZANIA's post 08/05/2026

Kila tone ni baraka

07/05/2026

UNICEF TANZANIA

12/04/2026

WANANGU

Njaa haitangazi inakuja kimya kimya, Njaa haina ego lakini inakuambia ukweli mmoja hakuna anayekuja kukuokoa amka pigana🫡

Mwanangu najua Macho yamefunguka lakini Maisha Bado yamelala, wanasema hasiyefanya kazi na hasile, acha kuona aibu fanya kazi yoyote halali👊🏿

Najua mikono hipo hai lakini haina pakushika, ndoto kichwani lakini mifuko ni k**a jangwa bila mvua ila amka pigana👣

Mtandaoni kila mtu ni Tajiri, Kila mtu anayo stori ya mafanikio lakini hawatuambii kuhusu usiku waliolala njaa wala asubuhi ya kuamka bila matumaini🤔

Maisha sio shamba la Bibi hauvuni bila kulima na ukingoja bahati utazeeka ukisubiri upepo hubadili mwelekeo🚮

Mwanangu sikiliza Njaa uliyonayo sio Laana ni kingereza ni sauti inayokwambia amka, pigana na tafuta njia💪🏿

Leo unaweza ukawa hauna kitu lakini ukikataa kukata tamaa, kesho itakuogopa husisubiri Maisha yakutafutie njia kuwa njia, Kwasababu ukweli ni huu hakuna anayekuja na muda haukawii🫶🏿

25/03/2026

BRO TO BRO

K**a unafikiri hii Dunia ni tamu kwa Mwanaume, unajidanganya kuwa makini wasije waharibifu wakapita mlango wa nyuma👣

Dunia inamtambua Mwanaume k**a shujaa ukiona unataka kila unachosukuma kinakuwa laini tu, angalia tsije kubaki pungufu💪🏿

Hata maandiko yanasema tutakula kwa jasho na ndio utamaduni, Hata yule mwenye vya kurithi inabidi atulize akili ili ale vizuri🔨

Sipo hapa kukwambia unatakiwa kuteseka kwenye kila hatua zako, ila nakukumbusha ukihisi unataka kukata tamaa kumbuka wewe ni Mwanaume🙏🏿

Kanuni ni ile ile Mwanaume hatii huruma anatia aibu, Tengeneza njia zako na pambania ndoto zako, tutakusifia ukifika kwenye Matokeo kusifiwa kwenye mchakato sio sifa ya Mwanaume👊🏿

Mwanaume na Dunia🤝

21/03/2026

Nawatakia Eid Mubarak🎉

08/02/2026

BRO TO BRO

Jitahidi kuishi Maisha yenye uhalisia wako na kutosahau ulipotoka!

Kamwe usidhani wewe ni wa pekee na hauwezi kuguswa, Maisha hayana Kanuni leo juu kesho chini!

Ugonjwa unaweza kukuangusha, kifo kikagonga bila hodi, kazi ukapoteza ghafla, pesa ikakauka na wale uliowazoea wakakushusha thamani!

Sekunde tu kila kitu kikabadilika, meza ikapinduka, marafiki wakageuka wageni na mwisho ukabaki pekee yako!

Jenga nidhamu, heshima na kuwa mnyenyekevu na mwisho tambua sio kila shimo unamwaga mbolea!

Fanya ibada bila kuchoka, shukuru ukiwa juu na hata ukiwa chini, usijisahau na usidharau wengine!

Photos from Seiph wa KO's post 04/02/2026

Shukrani

ya hifadhi ya wanyamapori uyumbu

Ushirikishwaji wa jamii katika uhifadhi wa hifadhi ya wanyamapori ni muhimu kwaajili ya vizazi vya Leo na Vinavyokuja

(Facebook).

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Tanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Tanga
ECKENFORDE