Omar Makame

Omar Makame

Share

"Uzazi Sio Ndoto!"

🌱 Nawasaidia wanandoa waliokata tamaa kurudisha matumaini."

"Nitakusaidia kutokomeza changamoto inayo kuzuia kupata mtoto kwenye Ndoa yako kwa matokeo halisi."

22/11/2025

HAIJALISHI UNAPITIA MAGUMU GANI SASA HIVI... ILA UNA UWEZO MKUBWA SANA WA KUIBADILI KESHO YAKO...!

ANZA LEO KUPIGA HATUA

JE UNATAKA KUTUSHIKE MKONO NA MUONGOZO RAHISI? K**A NDIO BOFYA HAPA 👇🏾
https://wa.me/message/HGA7RXPC4WX4G1

07/08/2025

HATIMAE 50 YEARS ANNIVERSARY
August 1975 ~ August 2025

NDOA YAO ILIFUNGWA TAREHE 1 August K**A YA LEO ZAIDI YA MIAKA 48 ILIYOPITA

• Huruma, Mapenzi, Uvumilivu vimewaweka pamoja hadi leo.

• Hakika mmethubutu kutuonesha kwamba inawezekana sana tukiwa tutamtanguliza Mwenyezi Mungu mbele na kuweka ubinafsi pembeni.

• Allah awajaalie Umri wenye barka na mzidi kutuongoza kwenye kila jema, Aamiyn 🤲🏾

HAPPY ANNIVERSARY MOM & DAD

21/07/2025

Anza siku yako kwa kikombe 🍵 cha maji ya vuguvugu, kunywa 😁

ITAKUSAIDIA👇🏽
1. Kujisikia mchangamfu.

2. Maji ya uvuguvugu husaidia kupunguza matatizo ya Mmeng'enyo wa chakula na kufunga choo. 💯

3. Kusafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, kuondoa sumu na mabaki tumboni.

2. Kuchochea vizuri mzunguko wa damu na kusaidia mwili kuwa na nguvu.

3. Hupunguza maumivu ya tumbo, hedhi, mzunguko wa damu kwenye misuli na kupunguza maumivu.

4. Kupunguza uzito, Huchochea metaboliki, na kuchoma mafuta mwilini.

5. Huboresha umeng'enyaji wa chakula, Huamsha tumbo kufanya kazi vizuri siku nzima.

6. Hupunguza athari za kufunga choo (constipation), Hufanya kinyesi kuwa laini na kurahisisha kwenda chooni.

7. Huondoa sumu mwilini (detox), Husaidia ini na figo kufanya kazi ya kusafisha damu.

8. Huimarisha Afya ya ngozi na kupunguza athari za chunusi kwa kusafisha mwili, ngozi hubaki safi na yenye afya.

Ni rahisi lakini yenye nguvu kubwa kwa afya!

K**a unasumbuliwa na changamoto yoyote kwenye mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula k**a; Gesi tumboni, Vidonda vya tumbo, Acid reflux, Bawasili sugu, Kansa ya Utumbo, karibu sana nikusaidie kupata suluhisho bora na asili kwa Usalama wa Afya yako
WhatsApp 0777410409

21/07/2025

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)

Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji

BAWASILI ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa.

Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu.

Hali hii husababisha maumivu makali sana, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa na afya ya akili.

AINA ZA BAWASILI

1. Bawasili ya Ndani Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.

2. Bawasili ya Nje Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.

CHANZO CHA BAWASILI

Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)

Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua

Kufanya ngono kinyume na maumbile

Choo kigumu (constipation) mara kwa mara

Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu

Kunyanyua vitu vizito, kufanya mazoezi mazito

Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)

DALILI ZA BAWASILI

Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa

Maumivu makali wakati wa kujisaidia

Kutoka damu wakati wa haja kubwa

Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa

Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, pia upungufu wa nguvu za kiume

MADHARA YA BAWASILI

Upungufu wa damu kwa kutokwa na damu mara kwa mara

Kudhoofika mwili na kinga ya kushuka

Kukosa hamu ya tendo la ndoa na nguvu za kiume

Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni, hasira)

Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia

Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana

SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI

Watu wengi hutibiwa Bawasili hospitali kwa ajili ya upasuaji, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena na tena hata baada ya upasuaji.

Habari nzuri zaidi ni kwamba sasa kuna bidhaa zenye viambata asili, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila ya upasuaji.

Bidhaa hizi husaidia:
Kupunguza uvimbe kwa haraka hadi kuondoka kabisa

Kuponya mishipa iliyo pasuka

Kupunguza maumivu na muwasho

Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa

JE! UNA NDUGU, JAMAA AU RAFIKI ANAE SUMBUKA NA BAWASILI?

Usikubali kuishi na maumivu na aibu.
Wasiliana nami kwa ushauri na tiba salama utokomeze Bawasili ukiwa nyumbani.

Mr Omar Makame
WhatsApp: 0777410409

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Zanzibar City
72105

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00