Omar Makame
"Uzazi Sio Ndoto!"
🌱 Nawasaidia wanandoa waliokata tamaa kurudisha matumaini."
"Nitakusaidia kutokomeza changamoto inayo kuzuia kupata mtoto kwenye Ndoa yako kwa matokeo halisi."
22/11/2025
HAIJALISHI UNAPITIA MAGUMU GANI SASA HIVI... ILA UNA UWEZO MKUBWA SANA WA KUIBADILI KESHO YAKO...!
ANZA LEO KUPIGA HATUA
JE UNATAKA KUTUSHIKE MKONO NA MUONGOZO RAHISI? K**A NDIO BOFYA HAPA 👇🏾
https://wa.me/message/HGA7RXPC4WX4G1
07/08/2025
HATIMAE 50 YEARS ANNIVERSARY
August 1975 ~ August 2025
NDOA YAO ILIFUNGWA TAREHE 1 August K**A YA LEO ZAIDI YA MIAKA 48 ILIYOPITA
• Huruma, Mapenzi, Uvumilivu vimewaweka pamoja hadi leo.
• Hakika mmethubutu kutuonesha kwamba inawezekana sana tukiwa tutamtanguliza Mwenyezi Mungu mbele na kuweka ubinafsi pembeni.
• Allah awajaalie Umri wenye barka na mzidi kutuongoza kwenye kila jema, Aamiyn 🤲🏾
HAPPY ANNIVERSARY MOM & DAD
21/07/2025
Anza siku yako kwa kikombe 🍵 cha maji ya vuguvugu, kunywa 😁
ITAKUSAIDIA👇🏽
1. Kujisikia mchangamfu.
2. Maji ya uvuguvugu husaidia kupunguza matatizo ya Mmeng'enyo wa chakula na kufunga choo. 💯
3. Kusafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, kuondoa sumu na mabaki tumboni.
2. Kuchochea vizuri mzunguko wa damu na kusaidia mwili kuwa na nguvu.
3. Hupunguza maumivu ya tumbo, hedhi, mzunguko wa damu kwenye misuli na kupunguza maumivu.
4. Kupunguza uzito, Huchochea metaboliki, na kuchoma mafuta mwilini.
5. Huboresha umeng'enyaji wa chakula, Huamsha tumbo kufanya kazi vizuri siku nzima.
6. Hupunguza athari za kufunga choo (constipation), Hufanya kinyesi kuwa laini na kurahisisha kwenda chooni.
7. Huondoa sumu mwilini (detox), Husaidia ini na figo kufanya kazi ya kusafisha damu.
8. Huimarisha Afya ya ngozi na kupunguza athari za chunusi kwa kusafisha mwili, ngozi hubaki safi na yenye afya.
Ni rahisi lakini yenye nguvu kubwa kwa afya!
K**a unasumbuliwa na changamoto yoyote kwenye mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula k**a; Gesi tumboni, Vidonda vya tumbo, Acid reflux, Bawasili sugu, Kansa ya Utumbo, karibu sana nikusaidie kupata suluhisho bora na asili kwa Usalama wa Afya yako
WhatsApp 0777410409
21/07/2025
UFAHAMU UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)
Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji
BAWASILI ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa.
Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu.
Hali hii husababisha maumivu makali sana, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa na afya ya akili.
AINA ZA BAWASILI
1. Bawasili ya Ndani Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.
2. Bawasili ya Nje Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.
CHANZO CHA BAWASILI
Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)
Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua
Kufanya ngono kinyume na maumbile
Choo kigumu (constipation) mara kwa mara
Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu
Kunyanyua vitu vizito, kufanya mazoezi mazito
Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)
DALILI ZA BAWASILI
Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa
Maumivu makali wakati wa kujisaidia
Kutoka damu wakati wa haja kubwa
Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa
Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, pia upungufu wa nguvu za kiume
MADHARA YA BAWASILI
Upungufu wa damu kwa kutokwa na damu mara kwa mara
Kudhoofika mwili na kinga ya kushuka
Kukosa hamu ya tendo la ndoa na nguvu za kiume
Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni, hasira)
Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia
Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana
SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI
Watu wengi hutibiwa Bawasili hospitali kwa ajili ya upasuaji, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena na tena hata baada ya upasuaji.
Habari nzuri zaidi ni kwamba sasa kuna bidhaa zenye viambata asili, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila ya upasuaji.
Bidhaa hizi husaidia:
Kupunguza uvimbe kwa haraka hadi kuondoka kabisa
Kuponya mishipa iliyo pasuka
Kupunguza maumivu na muwasho
Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa
JE! UNA NDUGU, JAMAA AU RAFIKI ANAE SUMBUKA NA BAWASILI?
Usikubali kuishi na maumivu na aibu.
Wasiliana nami kwa ushauri na tiba salama utokomeze Bawasili ukiwa nyumbani.
Mr Omar Makame
WhatsApp: 0777410409
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Zanzibar City
72105
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
